msemakweli tza
Senior Member
- Sep 25, 2014
- 177
- 10
Waziri wa nchi ofisi ya Rais mahusiano na uratibu ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Bunda mkoan Mara jana tarehe 19/10/2014 ameshitushwa baada ya kukutana na mapokezi makubwa ambayo hayajawahi kutokea jimboni humo ambayo yaliandaliwa na wananchi kwa malengno ya kumpongeza shujaa wao juhudi kubwa na uzalendo wa hali ya juu wa kufanikisha upatikanaji au kukamilika kwa katiba inayo pendekezwa.
Hata hivyo mh. Wasira kwa furaha na kujiamini alifafanua baadhi vipengele vya katiba vikiwemo ukomo wa ubunge,maadili ya viongozi nk na wananchi walifurahishwa na ufafanuzi huo.
Hata hivyo mh. Wasira kwa furaha na kujiamini alifafanua baadhi vipengele vya katiba vikiwemo ukomo wa ubunge,maadili ya viongozi nk na wananchi walifurahishwa na ufafanuzi huo.