Mh.UHURU KENYATTA kuwa Makini SANA!

Sasa hapo kwenu, mtu akihoji serikali mnaanza kumfuata aonyeshe makaburi ya mababu zake, maafisa wa uhamiaji wanakwenda hadi kijijini na kuhoji wazee huko, yaani hilo likitendeka Kenya kwa kweli nitaupoteza uraia maana kijijini sifahamiki sana na sijui yalipo makaburi ya mababu zangu wa kale.
sio lazima ujulikane kijijini,wapo wazee watawatambua wazee wako
 
sio lazima ujulikane kijijini,wapo wazee watawatambua wazee wako

Kumbuka kuna wazee wa kuhamia maeneo pia, babu yako alitoka usukumani akaenda kuishi kwa Waluguru, akafia huko na kuzikwa huko, uhamiaji wakifuata wanaishia hapo kwa Walugulu, hakuna taarifa za kueleweka kuhusu alikotoka kule usukumani, wewe mwenyewe labda hukua unamsabahi babu na bibi, unaishi maisha ya ukajanja mjini Dar, halafu Wabongo mlivyo, wengi wenu lugha zenu za asili hamjui hata salamu, hujui chochote kuhusu asili yako.
Hehehe kwa hali kama hiyo ipo siku mtapakiwa kwenye malori na kutelekezwa mipakani....
 
Wabongo mlivyo, wengi wenu lugha zenu za asili hamjui hata salamu, hujui chochote kuhusu asili yako.
Hehehe kwa hali kama hiyo ipo siku mtapakiwa kwenye malori na kutelekezwa mipakani....
mkuu wabongo tunaunganishwa na lugha moja tu kiswahili,lugha za asili Inapotea taratiiibu,ndio mana ukikanyaga tu ardhi ya kwetu tunajua wewe ni m ke!
 
mkuu wabongo tunaunganishwa na lugha moja tu kiswahili,lugha za asili Inapotea taratiiibu,ndio mana ukikanyaga tu ardhi ya kwetu tunajua wewe ni m ke!

Ndio kinachowaponza na kuwalemaza hamuendelei ukiliganisha na mlivyo na raslimali nyingi, leo hii dunia yote kila mtu yuko mbioni kutumia walau lugha kadhaa, nyie mumefungiwa kwenye lugha moja ambayo hata sio ya asili maana Kiswahili ni lugha ya kuungwa ungwa, ndio matatizo ya ujamaa.
Utafiti wa Kisayansi unaeleza umuhimu wa mtu kutumia zaidi ya lugha moja, unapanua hata uwezo wake wa kufikiri na kutumia ubongo, ukijifungia kwenye lugha moja unakua kama zezeta fulani hivi.
Watanzania wenye hela na viongozi wenu hilo wamelijua na huwa wanawapeleka watoto wao kwenye shule za kimataifa ilmradi wawe na uwezo wa kuongea zaidi ya Kiswahili. Lakini nyie wengine walalahoi wa kitaani st Kajamba mumeishia kudanganywa kwa kukomaa kwenye lugha moja ndio uzalendo, yaani umaskini na ukosefu wa elimu kwa Watanzania ndio mtaji wa viongozi wenu, mtaendelea kudanganywa hivyo hadi siku mtatia akili.
Huku vyuo vya Nairobi kumejaa watoto wa matajiri wenu...
 
Ndio kinachowaponza na kuwalemaza hamuendelei ukiliganisha na mlivyo na raslimali nyingi, leo hii dunia yote kila mtu yuko mbioni kutumia walau lugha kadhaa, nyie mumefungiwa kwenye lugha moja ambayo hata sio ya asili maana Kiswahili ni lugha ya kuungwa ungwa, ndio matatizo ya ujamaa.
Tehe tehe ukuje tena utuone
Yote hii unatolea mate ardhi!hakuna kuwapa wakenya!
 
Tehe tehe ukuje tena utuone
Yote hii unatolea mate ardhi!hakuna kuwapa wakenya!

Kama huna habari, huo upoyoyo wenu ndio afueni ya baadhi ya Wakenya, Wachina, Wahindi, Waarabu, Wasouth n.k. muendelee vivyo hivyo.
 
Kama huna habari, huo upoyoyo wenu ndio afueni ya baadhi ya Wakenya, Wachina, Wahindi, Waarabu, Wasouth n.k. muendelee vivyo hivyo.
umekasirika sana,njoo nikupe eka tano ufuge kisasa bradhee
 
Avatar yako ni ya Mtanzania aliyeletwa kwetu hapa kama amelishwa risasi 38..... Naskia bado anachokonoa, anataka kgombea urais 2020.....hehehe yaani anaota kumtoa Jiwe kwenye uongozi eti amfanye Jiwe kuwa rais wa kwanza kutolewa kwenye uongozi Tanzania.
Hapo kwenu upinzani mtasubiri sana, tena raundi hii ndio balaa bora hata kwenye awamu za awali, Jiwe sio mtu wa kujaribiwa, yaani huyo mzee huwa namtazama hata akihutubia, huwa personal sana, nakumbuka siku fulani akishangaa vya Zanzibar eti mtu agome kumpa mkono halafu bado anamtilia saini...hadi akapiga mayowe ya kivita...nilicheka sana....thubutu

kumbe issue za hapo bongo unazinyaka!!!?
 
Ndio kinachowaponza na kuwalemaza hamuendelei ukiliganisha na mlivyo na raslimali nyingi, leo hii dunia yote kila mtu yuko mbioni kutumia walau lugha kadhaa, nyie mumefungiwa kwenye lugha moja ambayo hata sio ya asili maana Kiswahili ni lugha ya kuungwa ungwa, ndio matatizo ya ujamaa.
Utafiti wa Kisayansi unaeleza umuhimu wa mtu kutumia zaidi ya lugha moja, unapanua hata uwezo wake wa kufikiri na kutumia ubongo, ukijifungia kwenye lugha moja unakua kama zezeta fulani hivi.
Watanzania wenye hela na viongozi wenu hilo wamelijua na huwa wanawapeleka watoto wao kwenye shule za kimataifa ilmradi wawe na uwezo wa kuongea zaidi ya Kiswahili. Lakini nyie wengine walalahoi wa kitaani st Kajamba mumeishia kudanganywa kwa kukomaa kwenye lugha moja ndio uzalendo, yaani umaskini na ukosefu wa elimu kwa Watanzania ndio mtaji wa viongozi wenu, mtaendelea kudanganywa hivyo hadi siku mtatia akili.
Huku vyuo vya Nairobi kumejaa watoto wa matajiri wenu...

hayo ni MAONI YAKO. siyo utafiti.

hata hivyo wewe unaposema kujua lugha ZAIDI ya moja ni kiingereza. na ulivyo na exposure ndogo, ukitumia muktadha wa neno lugha unamaanisha kiingereza.
 
umekasirika sana,njoo nikupe eka tano ufuge kisasa bradhee

Nikasirishwe na nini haswa, eka tano utatoa wapi wakati unahangaka kusaka tonge Dar, ama unadhani kwamba Tanzania kubwa ina maana nyote kila mtu anamiliki mashamba, kuna wengi wenu mpo mpo tu ili siku ziende. Ningeamini kama ahadi kama hiyo ingetolewa na baadhi ya Waarabu na Wahindi walioshikilia uchumi wenu, lakini mhangaikaji wa Tandale ambaye anaishi kwa kutegemea buku za CCM hana chochote cha msaada.
 
hayo ni MAONI YAKO. siyo utafiti.

hata hivyo wewe unaposema kujua lugha ZAIDI ya moja ni kiingereza. na ulivyo na exposure ndogo, ukitumia muktadha wa neno lugha unamaanisha kiingereza.

Kingereza ndio lugha mnayofunzwa kwa miaka yote ya shule ya msingi hadi form six, na kama huwa kinawashinda baada ya kufunzwa kwa miaka yote hiyo, lugha gani nyingine mnayoweza kuimudu, ukweli ni kwamba mpo na umbumbubu na uzembe wa kuelewa chochote, hivyo inabidi mkomae na lugha moja, ambayo pia huwa hamjaimudu ipasavyo, huwa nasoma uandishi wenu wa Kiswahili humu, hadi kicheko.
 
Kingereza ndio lugha mnayofunzwa kwa miaka yote ya shule ya msingi hadi form six, na kama huwa kinawashinda baada ya kufunzwa kwa miaka yote hiyo, lugha gani nyingine mnayoweza kuimudu, ukweli ni kwamba mpo na umbumbubu na uzembe wa kuelewa chochote, hivyo inabidi mkomae na lugha moja, ambayo pia huwa hamjaimudu ipasavyo, huwa nasoma uandishi wenu wa Kiswahili humu, hadi kicheko.
Hahaha... Eti hadi kicheko. Wanajua misamiati lakini kuandika ni zero. Hawajui kutofautisha herufi zingine mfano r na l.
 
Hahaha... Eti hadi kicheko. Wanajua misamiati lakini kuandika ni zero. Hawajui kutofautisha herufi zingine mfano r na l.

Kwa mfano tu, soma huu mwandiko wa jamaa fulani hapo juu anayejisifia Kiswahili, hapo nilipotia nyekundu, uandishi magumashi...

"mkuu wabongo tunaunganishwa na lugha moja tu kiswahili,lugha za asili Inapotea taratiiibu,ndio mana ukikanyaga tu ardhi ya kwetu tunajua wewe ni m ke! "
 
Kingereza ndio lugha mnayofunzwa kwa miaka yote ya shule ya msingi hadi form six, na kama huwa kinawashinda baada ya kufunzwa kwa miaka yote hiyo, lugha gani nyingine mnayoweza kuimudu, ukweli ni kwamba mpo na umbumbubu na uzembe wa kuelewa chochote, hivyo inabidi mkomae na lugha moja, ambayo pia huwa hamjaimudu ipasavyo, huwa nasoma uandishi wenu wa Kiswahili humu, hadi kicheko.

Ahaaa haaa haaa
sasa ngoja nianze kukufundisha wewe kiswahili.

neno kufunzwa halitumiki katika taaluma au masomo bali hutumika kwenye kupitisha maadili au heshima toka kwa waKale (wazazi au wahenga) KWENDA kwa watoto. mfano. asiyefunzwa na wazazi hufunzwa na dunia. au huyu mtoto hajafunzwa kwao. hivyo neno kufunzwa ni sawa na kufundwa au kukanywa.

neno sahihi hapo unalopaswa kutumia ni kufundishwa. ilibidi useme lugha mliofundishwa siyo mliyofunzwa. pia ikumbukwe kuwa kiingereza ni lugha ya kufundisha na kufundishia kwenye nyanja ya ELIMU tu hatutumii katika maisha yetu ya KAWAIDA.
lingine ni utafiti, unaonesha kuwa linguistic environment for kiswahili is deeply and well established, in a way, to make any user of the language to feel well understood by audiences. Also Swahili is one of dangerous and robust language as it tends to eat up small vernaculars, e.g in TANZANIA. I'm quite sure it will kick away some of ancient lingua franca as the language is very young but it grows very fast.
 
Ahaaa haaa haaa
sasa ngoja nianze kukufundisha wewe kiswahili.

neno kufunzwa halitumiki katika taaluma au masomo bali hutumika kwenye kupitisha maadili au heshima toka kwa waKale (wazazi au wahenga) KWENDA kwa watoto. mfano. asiyefunzwa na wazazi hufunzwa na dunia. au huyu mtoto hajafunzwa kwao. hivyo neno kufunzwa ni sawa na kufundwa au kukanywa.

neno sahihi hapo unalopaswa kutumia ni kufundishwa. ilibidi useme lugha mliofundishwa siyo mliyofunzwa. pia ikumbukwe kuwa kiingereza ni lugha ya kufundisha na kufundishia kwenye nyanja ya ELIMU tu hatutumii katika maisha yetu ya KAWAIDA.
lingine ni utafiti, unaonesha kuwa linguistic environment for kiswahili is deeply and well established, in a way, to make any user of the language to feel well understood by audiences. Also Swahili is one of dangerous and robust language as it tends to eat up small vernaculars, e.g in TANZANIA. I'm quite sure it will kick away some of ancient lingua franca as the language is very young but it grows very fast.

Uandishi wako una matatizo, bora uhudhurie darasa ili ujue jinsi ya kuzingatia vitu vya msingi ambavyo hufunzwa kwenye darasa la kwanza Kenya, alama za vituo kama nukta, mkato na nukta pacha ni muhimu sana katika uandishi, ukitumia nukta kukamilisha sentensi, baada ya hapo unafaa kutumia herufi kubwa.

Halafu kuhusu funza, labda kamusi itakusaidia......
funza.jpg
funza.jpg
 
Uandishi wako una matatizo, bora uhudhurie darasa ili ujue jinsi ya kuzingatia vitu vya msingi ambavyo hufunzwa kwenye darasa la kwanza Kenya, alama za vituo kama nukta, mkato na nukta pacha ni muhimu sana katika uandishi, ukitumia nukta kukamilisha sentensi, baada ya hapo unafaa kutumia herufi kubwa.

Halafu kuhusu funza, labda kamusi itakusaidia......
View attachment 999281View attachment 999281

nitakufundisha sarufi na muundo. lkn kwa leo ngoja nikazie tofauti kati ya kundisha na kufunza.
angalia vizuri kwenye hiyo kamusi neno funza linatia ndani kulea, yaani kutia nidhamu katika njia nzuri.
 
Miguna aliukana uraia, ni vitu haviendani, haiwezekani uihame Tanzania, uombe uraia wa nchi nyingine kwa kutumia katiba ambayo hairuhusu uraia pacha halafu utegemee wewe bado raia wa Tanzania. Unapoukana uraia, kubali matokeo.
Sasa hapo kwenu, mtu akihoji serikali mnaanza kumfuata aonyeshe makaburi ya mababu zake, maafisa wa uhamiaji wanakwenda hadi kijijini na kuhoji wazee huko, yaani hilo likitendeka Kenya kwa kweli nitaupoteza uraia maana kijijini sifahamiki sana na sijui yalipo makaburi ya mababu zangu wa kale.
kwahiyo mlimsamehe miguna siku zote mpaka alipomwapisha raila ndiyo mkakumbuka issue ya uraia???
 
Back
Top Bottom