Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,960
- 55,056
Una uhakika gani kwamba alichukua pesa.?Slaa hakujali alipotokea cha ajabu yy ni DR ana Ph.D. Lakini alirubuniwa na form six div zero January akachukua Pesa Huku Mwakyembe akimfundisha maneno ya kutorokea , Yule Binti mchanga alitaka maisha na Pesa ikabidi Slaa atangaze njaa ndipo Membe akatumia fursa Kwa kumjaza Pesa za marehemu Gadafi na NIDA akatoroka Ukawa na kwenda kuishi Canada
Tuletee hapa ushahidi wotote cheque au risiti ya bank ambayo inaonyesha Dr amelipwa.
Mimi siku zote nimejiwekea siwezi kuamini kitu bila kupata ushahidi mkuu.