Huyo ni vuvuzela la cdm muacheMh. Tundu Lissu najua kuna watu unawatumikia ukidhani upo nao, la hasha, uko peke yako. Kumbuka Dr. Wilbrod Slaa alivyojitoa muhanga kueneza habari ya fiasadi papa aliyekuja kukaribishwa na ninyi kwa kitita.
Dr. Slaa alikubali kupigwa mabomu, alikuwa na wananchi walala hoi bega kwa bega ktk kuhakikisha nchi inakombolewa toka mikonini mwa mafisadi (kama akina mamvi).
Ila siku aliposema mafisadi hapana ndani ya CHADEMA alifukuzwa na wanachama watiifu wasiotumia akili walianza kumtukana na mpaka leo Dr. Slaa wanamuona ni taka taka tena ni mtu asiyefaa kabisa.
Hata wewe siku ukija kuonesha kweli yako (yaani ukija kukataa kutumwa) basi ujiandae kisaikolojia kutukanwa, kudhihakiwa hata kukutishia kama walivyomtishia Dr. Slaa.
Ila muda bado unao wa kujijenga kisiasa zaidi kuliko kukubali kutumwa tumwa kwa vitu ambavyo havina tija kwa wanachi wa jimbo lako
Nani kakwambia Mimi nashabikia udicteta??Na ni mpuuzi tu anayeshabikia udikteta uchwara
Acha kujipendekeza ni vizuri kuongea mambo ya msingiYaani wewe pompo lipopop kabisa
Hiki unachokifanya ni nini kama sio kuhangaika na "chama mfu"?Tuishiwe nini?? Kwani sisi tunahangaika ni chama mfu?
Wakati anagombea urais mwaka 2010 dr Slaa aliwahakishia Watanzania kwamba ndani ya bunge wamepata mtu mwingine teyari wasife moyo "kwa Tundu Lissu kuna akina Dr.slaa kumi"Hakuna mtu aliyejitolea kujenga CHADEMA kuliko Dr Slaa, lakini Watanzania ni mashahidi wa namna alivyoshughulikiwa. Zitto, Kitila Mkumbo wako wapi? Chacha Wangwe ndio usisema kabisa. Na sasa Joyce Kiria anaonja joto ya jiwe baada ya kukataa UKUTA kulinda kulinda familia yake! Swali la msingi ambalo haliulizwi ni hili, CHADEMA ni nini na inapagania nini?
Mkuu mimi sina undugu na hao watu wa Lumumba wala UKUTA.Tukana tu si ndiyo sera zenu wa lumumba.
umeacha kujibu hoja, unajibu vioja, umeambiwa chama sio mama yako, ukikichoka unakiacha, huwezi acha kufanya siasa kisa eti unaogopa kuna siku watakufukuza, empty kabisaMwambie Mbowe aachie madaraka ya uenyekiti.
Mkuu mimi sina undugu na hao watu wa Lumumba wala UKUTA.
Lakini kumlinganisha Dr na LISU ni kumvunjia heshima mzee wetu....
Ni kweli, ila cha ajabu wanachama wa hiki chama mfu hawatumii akili hata kidogo, hawana siasa za kujenga, wao ni kubomoa, na ndiyo maana Lowasa anawaambia waache uanaharakati
ThubutuMwambie dikiteta Mbowa aachie madaraka ya uenyekiti.
Katiba iheshimiweHakuna mtu aliyejitolea kujenga CHADEMA kuliko Dr Slaa, lakini Watanzania ni mashahidi wa namna alivyoshughulikiwa. Zitto, Kitila Mkumbo wako wapi? Chacha Wangwe ndio usisema kabisa. Na sasa Joyce Kiria anaonja joto ya jiwe baada ya kukataa UKUTA kulinda kulinda familia yake! Swali la msingi ambalo haliulizwi ni hili, CHADEMA ni nini na inapagania nini?
Weeeeee patam hapo!Yani kingunge ndo moja ya waanzilishi wa ccm lakini kusema tu ukweli alivyofanywa Mmmmh
Ngoja nikueleze kitu ndugu yangu, haya mambo ya siasa ukitaka kuyajadili vizuri na kuyaelewa lazima kwanza akili yako iwe huru usijiweke kwenye upande wowote.Yeye kukubali kurubuniwa na lile pashkuna siyo kujidharaulisha?