Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Mh. Tendwa inabidi ujikaze, ur a Man. Angalia Zambia, mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Zambia ni mwanamama na jasiri, anaye simamia kweli Bi Irene Mbililima
Ushauri huu ungempa Jaji Makame...
Mh. Tendwa inabidi ujikaze, ur a Man. Angalia Zambia, mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Zambia ni mwanamama na jasiri, anaye simamia kweli Bi Irene Mbililima
Kuna ubaya gani kwa tendwa kujumuishwa humu ? Yeye si ndio refarii wa siasa za Bongo ?Mh. Tenda inabidi ujikaze, ur a Man. Angalia Zambia, mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi Zambia ni mwanamama na jasiri, anaye simamia kweli Bi Irene Mbililima
Mbona sikusomi vizuri? kama ni mh Tendwa ni msajili wa vyama vya siasa na si mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Tanzania?