IPECACUANHA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 3,230
- 1,925
Ni ukweli kwamba amepata ubunge kwa kura za "maruhani"( hate to ccm votes) na sio kwasababu ya sifa zake binafsi au chama chake, ilitegemewa ajitahidi kulinda heshima ya nafasi ya uwakilishi na kutuliza mzuka wa uMC.