Ndugu wa Tz wenzangu habari za muda huu,Hakika tumeshuhudia udhaifu mkubwa wa Spika wetu sababu ya Uchama badala ya uspika,ni maoni yangu kuwa spika atokane na chama tawala na naibu spika atoke upinzani
Tunaweza kumpata mtu wa aina hiyo Tanzania? Kwa sababu mimi nadhani tatizo ni chama tawala kutaka kulitawala Bunge. Anayoyafanya Spika hayafanyi kwa matakwa yake, bali matakwa ya chama tawalaMaoni yangu spika asiwe mwanachama wa chama chochote cha siasa na asiwe mbunge.
Wengine matatizo tu. Kiswahili taabu kingereza shida. Hebu na ww tupe cv yako:alien: NA KWELI HUYO SPIKA ANNA MAKINA a.k.a Bi KIROBOTO AVAE KABISa. Unajua CCM wamechukia SITA kwa sababu he was transparent and not basing on any Political Parties kwa hivyo wakamtua hawa CCM kumweka huyo KIROBOTO ili atete CCM na kunyamazisha Wapinzani. Kwa kweli kuna kazi kwa CCM na awataweza. Ya pili sisi Watanzania tunataka recruitements zote za kila kitu hata kuajiri iwe wazi kama wenzetu WAKENYA wanafanya. sIO MTOTO WA FLANI AU MKUBWA FLANI.
SPIKA ANNA MAKINA AVAE KABISA NA ANA ELIMU YAKUA SPIKA KABISA. NANI ANA CV YAKE APOSTI JAMANI. TUMA MAVIHIYO WENGI CCM AMBAE WANALINDWA NA CCM.