R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,573
Mh Simbachawene ameenda mbali na kusema mgawo wa umeme ulikuwa unategenezwa;
pia na waziri kaenda mbali baada ya kutoa taarifa kuchukua mafuta BP lakini mpaka anafika Dar ofc za ubungo hakuna gari ilikuwa imefuata mafuta.
HUJUMA ; NCHI ISITAWALIKE.
MWISHO NI KUUMBUKA:israel:
pia na waziri kaenda mbali baada ya kutoa taarifa kuchukua mafuta BP lakini mpaka anafika Dar ofc za ubungo hakuna gari ilikuwa imefuata mafuta.
HUJUMA ; NCHI ISITAWALIKE.
MWISHO NI KUUMBUKA:israel: