Mh.Rashid M. Kawawa anaweza kulinganishwa na Mh.Kingunge?
MH. RASHID M. KAWAWA
1. Mkongwe katika Siasa lakini ni mstaafu
2. Hana tuhuma za ufisasdi
3. Alitumika vizuri na Mwalimu Nyerere
4. Hajakiuka ushauri wa Mwalimu Nyerere.
5. Anaheshimika hapa tanzania.
MH. KINGUNGE N. MWIRU
1. Mkongwe katika Siasa lakini bado yupo kwenye siasa
2. Ana tuhuma za ufisasdi Maegesho DSM na Ubungo Bus Terminal
3. Alitumika vizuri na Mwalimu Nyerere sasa amekiuka ushauri wake
4. Amekiuka ushauri wa Mwalimu Nyerere juu ya uadilifu wa Uongozi.
5.Heshima yake hapa tanzania inafifia kutokana na tuhuma za ufisadi na msimamo wake kisiasa.
Wana JF ongezeni hapo chini.
MH. RASHID M. KAWAWA
1. Mkongwe katika Siasa lakini ni mstaafu
2. Hana tuhuma za ufisasdi
3. Alitumika vizuri na Mwalimu Nyerere
4. Hajakiuka ushauri wa Mwalimu Nyerere.
5. Anaheshimika hapa tanzania.
MH. KINGUNGE N. MWIRU
1. Mkongwe katika Siasa lakini bado yupo kwenye siasa
2. Ana tuhuma za ufisasdi Maegesho DSM na Ubungo Bus Terminal
3. Alitumika vizuri na Mwalimu Nyerere sasa amekiuka ushauri wake
4. Amekiuka ushauri wa Mwalimu Nyerere juu ya uadilifu wa Uongozi.
5.Heshima yake hapa tanzania inafifia kutokana na tuhuma za ufisadi na msimamo wake kisiasa.
Wana JF ongezeni hapo chini.