Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,539
Nimekuwa nikiwaza kwa muda sasa tokea sakata la Makinikia ya ACACIA na Barrick Gold.
Nimewaza ikiwa Makampuni haya yalikuwa na yamekuwa yakitengeneza faida kubwa kiasi ambacho tumeelezwa na yangeweza kulipa kodi ya Matrilioni tuliyoelezwa na bado makampuni hayo yakabaki na faida nzuri baada ya kutoa gharama zauendeshaji, basi Tanzania tuna dhahabu yenye thamani kubwa sana.
Kwa mantiki hiyo, namshauri Rais Magufuli; akiona inafaa, aijenge uwezo wa hali ya juu kampuni ya kizalendo ya STAMIGOLD kwenye eneo la mtaji, vifaa mitambo na rasilimali watu.
Hii itasaidia kwa maana kwamba, faida hiyo kubwa, na ile ambayo ingelipwa kama kodi na ajira za kutosha vyote vitabaki hapa hapa nchini kwa maendeleo ya Watanzania.
Naomba kuwasilisha hoja.
Nimewaza ikiwa Makampuni haya yalikuwa na yamekuwa yakitengeneza faida kubwa kiasi ambacho tumeelezwa na yangeweza kulipa kodi ya Matrilioni tuliyoelezwa na bado makampuni hayo yakabaki na faida nzuri baada ya kutoa gharama zauendeshaji, basi Tanzania tuna dhahabu yenye thamani kubwa sana.
Kwa mantiki hiyo, namshauri Rais Magufuli; akiona inafaa, aijenge uwezo wa hali ya juu kampuni ya kizalendo ya STAMIGOLD kwenye eneo la mtaji, vifaa mitambo na rasilimali watu.
Hii itasaidia kwa maana kwamba, faida hiyo kubwa, na ile ambayo ingelipwa kama kodi na ajira za kutosha vyote vitabaki hapa hapa nchini kwa maendeleo ya Watanzania.
Naomba kuwasilisha hoja.