Mh Rais Kikwete Akiwa Wodini Marekani

Mh Rais Kikwete Akiwa Wodini Marekani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
unnamed (7).jpg
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani, leo Jumapili, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume.
 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na daktari Bingwa Mpasuaji Edward Shaeffer muda mfupi kabla ya kuingia kwenye chumba cha upasuaji uliofanyika katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland nchini Marekani Jumamosi asubuhi(picha na Freddy Maro) D92A2542.jpg
 
Wekeni na picha za watu wetu wanaolala chini wardini wakifa kwa kukosa dawa na huku wakilipa kodi kubwa kuliko!.
 
Dokta anafurahia hiyo cash money atakayolipwa! Hakuna mambo ya Medicare hapo!😛hoto:
 
Tuna safari ndefu sana kufikia hospitari za aina hiyo,wahusika wenyewe hukimbilia huko na kuziacha za hapa nchini zikiwa tupu bila hata panadol,huku watanzania wakifa kwa magonjwa yanayotibika kabisa...
 
View attachment 200681
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani, leo Jumapili, siku moja baada ya kufanyiwa upasuaji wa Tezi Dume.

Hivi kulikuwa kuna ulazima wa kutangaza haya yote? Au kuna ajenda nyingine?
 
Back
Top Bottom