JoJiPoJi
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 2,907
- 3,260
Mh. Rais kwanza nikupongeze kwa kufanya mabadiliko ya mwanasheria mkuu wa serikali, lakini pia naona imefika kipindi tunahitaji DPP mpya ambaye ataweza kufanya kazi kwa kufuata kanuni na taratibu za nchi tofauti na huyu aliyepo ambaye ameshindwa kabisa kufanya kazi yake.