chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,136
Na wateule wa Raisi NAO WALIPE Mikopo ya HELSB.Nimesha thibitisha kuwa mdaiwa namba 5604 kwenye orodha ilotolewa miezi michache ilo pita, MAKORI KISARE ndiye Mkuu wa Wilaya ya Ubungo. Na Mke wake Nancy Hizza anadaiwa pia. Huyu yuko namba 5526 kwenye orodha hiyo. Wote 2 walimaliza mwaka 1998. Miaka 19 HAWAJALIPA DENI la serikali!Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.