Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,441
Kiongozi nmetapika baada ya kuona jina la hao hopeless hapo juu.Nenda kotini, hawa TLS, Tamwa etc, bure kabisa. Haya ndiyo mambo ya kuyashupalia. TUCTA hopeless also as ever
Kiongozi nmetapika baada ya kuona jina la hao hopeless hapo juu.Nenda kotini, hawa TLS, Tamwa etc, bure kabisa. Haya ndiyo mambo ya kuyashupalia. TUCTA hopeless also as ever
Pole mkuu lakini kama tupo serious basi kwasasa tungepata katiba mpya kwanzaDah unazidi kunichanganya mkuu
Jiulize tu walevi hulewa nini? Ndo presdarHivi kwasasa nani rais wa nchi
Bado hajawasha data aanze wtap, twter, inst na fb. Kisha aende Jf. Akirud tunanuka. Ndo nagundua makosa.Nurse yupo kwenye simu na hawara
Sahz wengi wsmejua. Huamn?Wachache wanaolijua hili, wengi wanajiendeaendea tu kama bendera.
Wewe hunyooki mkuu? Au haupo Bongo Nini?na baado mtanyooka tu, ndio mtajua ccm ni ile ile
Uko sawa kabisa ndugu Congo, dawa ya deni ni kulipa na kama mtu halipi binafsi simkubalii kabisa.Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
Wewe tumia akili. Hakuna aliyekataa kulipa, issue ni hiyo 15% badala ya 8% inayosomeka ktk mkataba. Hebu sometimes jaribu kutumia akili badala ya kuleta ushabiki wa kiasiasa ktk mambo yanayoathiri walio wengi.Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
Naona sasa akili zmeanza kuwakaaa sawa .big up mkuu .Yaani hapa ofisini kila mmoja anasubiri 2020. In kama msiba. Hakuna anayewaza lini atamaliza makato ya mkopo, wote wanawaza October 2020
mi nipo zimbabwe, ila nitarudi 2020Wewe hunyooki mkuu? Au haupo Bongo Nini?
Haya bro, Lkn hakuna namna hapo mnafanyaje sasa, vyama vyenu vya wafanyakazi havina SAUTI yoyote ni kama vivuli tu. Naukumbuka ule msemo wa Mtaishi kama Mashetani.Utakuwa na ka certificate au ni form four failure.Sisi tulisainishana mkataba wa kulipa 8% Ghafla HESLB wamepaisha hadi 15% bila kutushirikisha halafu unataka tunyamaze tu kama wajinga.Kuwa uyaone dogo
Masharti ya mkopo yako kwenye sheria. Wanaweza kuwa walisaini kwa 8% lakini sheria ikageuzwa kuwa kuanzia sasa ni 15%. Lazima uende kwenye 15% kwa mkopo uliobaki.Uko sawa kabisa ndugu Congo, dawa ya deni ni kulipa na kama mtu halipi binafsi simkubalii kabisa.
Swali linaloniijia kichwani mwangu ni moja. Hivi huu si ni mkopo? Mkopo si huwa una masharti wakati unauchukua?
Sasa swali: Kama wanufaika walisaini kulipa 8% ya mshahara,kwa nini sasa waambiwe 15% ya mshahara?
Kisheria hapa imekaaje? Mimi si mwana sheria lakini nafikiria tu kichunga ng'ombe kuwa, hiyo 15% ilipashwa kulipwa na wanufaika watakaosaini hayo masharti.....au huko HESLB hakuna Vigezo na masharti kuzingatiwa?
Nakubariana na wewe kwenye TIN au any means of debit collection. Matatizo yangu bado yako kutoka 8% kwenda 15%. Kama ni iko kisheria na kwamba inapobadirika na deni linalokuwa limebaki linakuwa ndani ya 15%, hivi sheria huwa ikoje, inapotungwa inaaffect hata makubariano ya awali?Masharti ya mkopo yako kwenye sheria. Wanaweza kuwa walisaini kwa 8% lakini sheria ikageuzwa kuwa kuanzia sasa ni 15%. Lazima uende kwenye 15% kwa mkopo uliobaki.
Kitu kingine dawa ya wanaodaiwa na HESLB ni kukopa kwa kutumia TIN. Kuwe na TIN ya mkopo kama ilivyo TIN ya udereva. Mishahara itumie TIN. Kwa kuwa TIN haikatwi mara 2 ina maana ukikopa mkopo unaingia kwenye TIN. Ukiajiriwa unakutana na tin, ukianzisha biashara unakutana na tin, ukitafuta pp unakutana na tin. Unaanza kukatwa mkopo hukohuko na TRA.
Nashindwa kuelewa makubaliano yalisemaje? wakati unakopa kwenye form yako ya mkopo uliahidi kurejesha kwa asilimia ngapi?Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?
Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?
Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.
Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?
Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?
Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.