Mh. Rais hii sio sawa na sio utu

Private investigator

JF-Expert Member
Dec 28, 2012
303
287
Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?

Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?

Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.
 
Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?
Mbona uliposikia la Tanesco uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana.
Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makosanyo hayatoshi huko bodi?
Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa.
Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.
Nenda kotini, hawa TLS, Tamwa etc, bure kabisa. Haya ndiyo mambo ya kuyashupalia. TUCTA hopeless also as ever
 
Mkubali tuu kuwa mliingia choo cha kike na 2020 OUT basi. Nadhani hata hao washabiki wa ccm nao wameona kuwa kumpa kura mtu kwa ushabiki wa kisiasa kisha mateso na familia yako miaka 5 ni zaidi ya ujuha!
Akiwa madarakani mtu anaye vaa kijani kama wewe lakini hana mbinu za kukukwamua zaidi ya kukukamua inakusaidia nini kama sio yeye huyo huyo kukuona fala!
 
Yaani hapa ofisini kila mmoja anasubiri 2020. In kama msiba. Hakuna anayewaza lini atamaliza makato ya mkopo, wote wanawaza October 2020
Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
 
Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?

Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?

Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.

Usiwe na wasi wasi HESLB hawakumshirikisha mhe waziri, hivyo uteuzi wao soon utatenguliwa.
 
Mi siwezi mwombea mtu aliyekatisha ndoto zangu hata kidogo bora niwaombee waopika mbege na gongo
 
Mkubali tuu kuwa mliingia choo cha kike na 2020 OUT basi. Nadhani hata hao washabiki wa ccm nao wameona kuwa kumpa kura mtu kwa ushabiki wa kisiasa kisha mateso na familia yako miaka 5 ni zaidi ya ujuha!
Akiwa madarakani mtu anaye vaa kijani kama wewe lakini hana mbinu za kukukwamua zaidi ya kukukamua inakusaidia nini kama sio yeye huyo huyo kukuona fala!
Kamanda, umesahau kama makamanda wenzetu kwenye uchaguzi mkuu 2015 walisema tusipoitoa CCM madarakani tusubili tena hadi baada ya miaka 50? Sasa wewe CCM out 2020 umeipata wapi?
 
Back
Top Bottom