GUI
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,847
- 1,301
Mvua inasua sua unaweza kupoteza hela zako pia[emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9]Dah hapa bora tukalime tu ili tubadlishe debe Kwa ngombe 3
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
Mvua inasua sua unaweza kupoteza hela zako pia[emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9]Dah hapa bora tukalime tu ili tubadlishe debe Kwa ngombe 3
Sent from my TECNO M3 using JamiiForums mobile app
Hakuna anae kataaa kulipa deni, tunacho lalamikia ni utaratibu wa ulipaji mkuu!!Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
Kila usikiacho kwenye kampeni sio kukiweka kwenye kumbukumbu yako utapoteza fahamu bure!Kamanda, umesahau kama makamanda wenzetu kwenye uchaguzi mkuu 2015 walisema tusipoitoa CCM madarakani tusubili tena hadi baada ya miaka 50? Sasa wewe CCM out 2020 umeipata wapi?
Ni kweli mlikula na kutumia pesa ya serikali lipeni hakuna namna hapo, wewe utafurahi ndugu zako, wadogo zako na watoto wa masikini kushindwa kufikia hapo ulipo wewe kwa sababu ya kukosa Mkopo. Dawa ya Deni ni Kulipa si vinginevyo. Lawama hazisaidii chochote mwacheni Rahisi afanye yake..Namba tunaisoma wote ila lawama hazisaidi chochote, hata hiyo 2020 mathalani Sizonje hajapita una uthibitisho gani huyo atakayekuja atayafuta madeni yako ya bodi hapana. Future of full of uncertainity cha msingi kukaza sasa kujaribu kutafuta kwa hali na mali hali ishakua mbaya na hakuna namna. Nawasilisha. Shikamoo Sizonjee[emoji13] [emoji13]Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
Unaishi uarabuni au marekani?Hebu lipeni mikopo wengine wakopeshwe. Mlikopa rudiaheni. Kusubiri 2020 ni sawa na fisi kusubiri mkono wa binadamu ukatike. Mmepata shahada. Zitumieni ipasavyo kufanya kazi kwa bidii ili kulipa mikopo yenu.
Nurse yupo kwenye simu na hawaraTulia sindano iingie usipige kelele
Basi inabd tuhame nchiMvua inasua sua unaweza kupoteza hela zako pia[emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9]
Yaani unatamani ukamtengeneze MKEMIA kwa FUNDI....[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu bwana maombi yamefeli labda tumtafutie mganga tu wa kienyeji
Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?
Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?
Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.
Wachache wanaolijua hili, wengi wanajiendeaendea tu kama bendera.Nadhani hata hao washabiki wa ccm nao wameona kuwa kumpa kura mtu kwa ushabiki wa kisiasa kisha mateso na familia yako miaka 5 ni zaidi ya ujuha!
Utakuwa na ka certificate au ni form four failure.Sisi tulisainishana mkataba wa kulipa 8% Ghafla HESLB wamepaisha hadi 15% bila kutushirikisha halafu unataka tunyamaze tu kama wajinga.Kuwa uyaone dogoNi kweli mlikula na kutumia pesa ya serikali lipeni hakuna namna hapo, wewe utafurahi ndugu zako, wadogo zako na watoto wa masikini kushindwa kufikia hapo ulipo wewe kwa sababu ya kukosa Mkopo. Dawa ya Deni ni Kulipa si vinginevyo. Lawama hazisaidii chochote mwacheni Rahisi afanye yake..Namba tunaisoma wote ila lawama hazisaidi chochote, hata hiyo 2020 mathalani Sizonje hajapita una uthibitisho gani huyo atakayekuja atayafuta madeni yako ya bodi hapana. Future of full of uncertainity cha msingi kukaza sasa kujaribu kutafuta kwa hali na mali hali ishakua mbaya na hakuna namna. Nawasilisha. Shikamoo Sizonjee[emoji13] [emoji13]
TanzaniaUnaishi uarabuni au marekani?
Historia kwa katiba ipi mkuu? Hii hii ya matokeo yakishatangazwa hayahojiwi mahakamani au?Naona kila mtu anaomba uchaguzi ifike upesi watanzania tuweke historia
Inah Lilah wa inahilah rajiunYaani hapa ofisini kila mmoja anasubiri 2020. In kama msiba. Hakuna anayewaza lini atamaliza makato ya mkopo, wote wanawaza October 2020
umenena, rais hana "time" na maslahi ya watumishi zaidi ya kudai wachape kazi. Hapa si kazi tu, bali "punda afe mzigo ufike". Uzuri hatagombea tena.Kinachoniuma sio makato ya HESLB au lah!! Kinachoniuma ni kuongezewa makato kwa mshahara ule ule alioniachia "Mzee Bure". Tangu uingie hujanifanyia lolote mie mtumishi. Nawezaje kukuombea?
Mbona uliposikia la TANESCO uliingilia? Please usinijibu eti hili huusiki, litakuwa jibu baya sana. Yaani 15% wakati nilishabakiwa na 1/3? Wewe hunilishi na bado unataka kunikamua? Au hujawapa ruzuku na makusanyo hayatoshi huko bodi?
Hii si sawa wakati hunijali. Mbaya zaidi unajua wanufaika wengi ni sisi walimu. Wewe ni mwalimu, Ila umejisahau sanaaaa. Unajua tunaziitaje ahadi zako kwetu watumishi? Ahadi za Abunuasi.
Dah unazidi kunichanganya mkuuHistoria kwa katiba ipi mkuu? Hii hii ya matokeo yakishatangazwa hayahojiwi mahakamani au?