Mzee R.M anajipanga upya maana siye mtu wa kukurupaka. Baada anakusanya data ili aje na kubwa zaidi. Kuan taarifa kuwa anamtaftia Platform J.K ili wawe na tamko 1 kuhusu ufisadi. Ngoja tusubuli baadae tutajua kama JK anamuunga mkono au la ila ninavyoona nikuwa RM bado yuko fit anakusanya data