Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,921
- 22,073
Mh mengi tunashukuru kwa kutujulisha mambo yatokanayo huko migodin..labda kwa kifupi tu ni kweli wanasaidia ila shida iliopo wanachotoa ama ulichoonyeshwa ni pesa ndogo sana kutegemea na pesa wanazochota na kulepeka huko kwao........
Mh mengi wanachollilia watanzania ni kiasi kinachoondoka ardhi yao na si wanachotoa kam a ulivyosikia wametengeneza madarasa kadhaa,..vyoo nk lakini wanachota ngapi umepewa mchanganuo wanachopata na wanachotoa??
Mungu ibariki tanzani
Mh mengi wanachollilia watanzania ni kiasi kinachoondoka ardhi yao na si wanachotoa kam a ulivyosikia wametengeneza madarasa kadhaa,..vyoo nk lakini wanachota ngapi umepewa mchanganuo wanachopata na wanachotoa??
Mungu ibariki tanzani