Mh. Pinda Awasihi UKAWA!!

Mh. Pinda Awasihi UKAWA!!

Wao CCM waendelee kutengeneza katiba yao, si ndio wanataka. Wao wanafikiri ni kirahisirahisi tu.................
 
Sio rahisi CCM tunayoijua sisi ikae meza moja na ukawa,kama tayari wana 2/3 ya wajumbe wa kuweza kuendelea na kutunga katiba wy should they give a dam???haujamuelewa PINDA wewe

tupe muujiza watakaotumia kupata hiyo 2/3 kwa upande wa zenji
 
Jk yeye ndio kutufikisha hapa sasa ngoja watu tuuwane ndio kilicho baki
 
Samahanini ukawa naomba tushikamane ili tupate katiba yenye kiwango cha juu.

Katiba mpya haipo kwenye ilani ya uchaguzi ya ccm ya mwaka 2010, that is why inaendeshwa kwa mwelekeo wa kushindwa ili turejee kwenye katiba iliyopo. Hebu tumia akili ya kawaida tu, Rasimu inazungumzia serikali tatu, muundo mzima umekaa katika misingi hiyo, kama tukirejesha serikali mbili mbunge litakuwaje, umiliki wa rasilimali utakuwaje? kwa hiyo hakuna katiba mpya chini ya cc ya ccm.
 
Sio rahisi CCM tunayoijua sisi ikae meza moja na ukawa,kama tayari wana 2/3 ya wajumbe wa kuweza kuendelea na kutunga katiba wy should they give a dam???haujamuelewa PINDA wewe

Ni kweli watu watu wanapenda kuelewa vile wanavyataka wao. Pinda amesema suluhu ya mgogoro BMK imo ndani ya kanuni walizojitungia wenyeee earudi wajadiliane matatizo yao. Kama ni dharau eajiulize zilianzaje na kama ni kuamua Wajumbe wote waseme kuanzia sas msmbo haya wanaacha!!
 
mnafiki huyo anataka wananchi waone kuwa ccm wana nia nzuri kumbe wanalao jambo wanataka litimie
kinachotakiwa nikuheshimu mawazo ya wananchi nakuyajadili sio huo upuuzi wao wa eti maoni ya wengi yasiyo yautafiti na sio ya moja kwa moja kutoka kwa wananchi
 
Wao si wanafikiri kinyume nyume! Waendelee na Bunge lao la Katiba ndo watajua moto wa Watanzania!
 
Maona Waziri Pinda anapingana na boss wake wa chama bwana Nape aliyesema UKAWA wasirudi bungeni tena, kwani tangu waondoke mitusi, makelele vimepungua na Bunge linaendeshwa kwa ustaarabu mkubwa.

Kwa msingi huu wengi tunaona waendelee wenyewe kwa wenyewe, sisi tutawasubiri huku mitaani wakati wa kura za kuipitisha - hapo ndiyo mzizi wa fitna utakapokatwa rasmi.
endelea kujidanganya think beyond the limit hata kadi ya kupiga kura sijui kama unayo kijana
 
Ukawa wale wanajitambua ila interahamwe MACCM yamejaa umb........
 
Pinda ameamua kumkosea adabu Nape kwa kukiuka agizo lake? Kweli interahamwe wamevurugwa kama wajenzi wa babeli.
 
Back
Top Bottom