Mh. Pinda Awasihi UKAWA!!

Mh. Pinda Awasihi UKAWA!!

chakii

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
21,369
Reaction score
27,785
Awasihi kukaa meza moja kuangalia ni namna gani watasuluhishana na kuondoa tofauti zao!!

Naamini sasa Serikali ya CCM imeona umuhimu wa UKAWA bungeni,.
 
Mizengo hata si muelewi anchokijibu hoja za wabunge... kweli amejichokea!!!
 
Maona Waziri Pinda anapingana na boss wake wa chama bwana Nape aliyesema UKAWA wasirudi bungeni tena, kwani tangu waondoke mitusi, makelele vimepungua na Bunge linaendeshwa kwa ustaarabu mkubwa.

Kwa msingi huu wengi tunaona waendelee wenyewe kwa wenyewe, sisi tutawasubiri huku mitaani wakati wa kura za kuipitisha - hapo ndiyo mzizi wa fitna utakapokatwa rasmi.
 
Samahanini ukawa naomba tushikamane ili tupate katiba yenye kiwango cha juu.
 
Sasa hii serikali ni ya ajabu, Wasira jana kanyanyuka na Ugombe wake kawaponda Ukawa sasa Pinda anakuja kuvyake. Hii serikali haina msemaji??
 
Awasihi kukaa meza moja kuangalia ni namna gani watasuluhishana na kuondoa tofauti zao!!

Naamini sasa Serikali ya CCM imeona umuhimu wa UKAWA bungeni,.

@Nape nnauye huwakejeli UKAWA na kusema hawako tayari kukaa meza moja na UKAWA.

kunani ccm tena??
 
Awasihi kukaa meza moja kuangalia ni namna gani watasuluhishana na kuondoa tofauti zao!!

Naamini sasa Serikali ya CCM imeona umuhimu wa UKAWA bungeni,.


Sio rahisi CCM tunayoijua sisi ikae meza moja na ukawa,kama tayari wana 2/3 ya wajumbe wa kuweza kuendelea na kutunga katiba wy should they give a dam???haujamuelewa PINDA wewe
 
Sio rahisi CCM tunayoijua sisi ikae meza moja na ukawa,kama tayari wana 2/3 ya wajumbe wa kuweza kuendelea na kutunga katiba wy should they give a dam???haujamuelewa PINDA wewe

wewe ndiyo hukumuelewa mkuu, CCM wanaanza kuhaha,.
 
Back
Top Bottom