Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,583
Mimi sijafanya research,nimekuuliza tu,halafu kwa mtu ambaye ni civilized hawez kuibua ubish wa kitoto kama huu.Pole. Tulia dawa iingie vzr. Hapa sio udini ila ni Fact tu.
Mf Chuo chochote ulichosoma kuna Ma Prof. wangapi wa Kiislam? pia mf mzr ni Bunge kuna Ma Prof. na Ma Dr. wangapi wa Kiislam?
Kuwa na idadi kubwa ya maprofesa au Madokta hakumuongezei Muislam wala mkristo.
Mimi kwa elimu yangu nawahudumia watu wote bila kujali dini zao,rangi zao wala kabila zao.Nawachukulia wote ni watanzania. Haya let say maprofesa au ma-Drs wa kikristo wapo wengi huko vyuoni,na mabungeni na kwingineko,so what are u benefit from them?kuibiwa?.
Maelezo yako yananithibitishia wewe ni adolescent.Endelea na takwimu za idadi ya maprofesa wakristo kuwa wengi wakat wenzio wanapata vipato vyao na havikunufaishi chochote.Hatuna haja ya kuwa na idadi kubwa ya wasomi ambao hawawezi ku-deliver, tunataka wasomi wanaoweza ku-deliver. Sasa utajisifia mkristo mwenzio ni profesa while anakua dalali wa watu kuchota pesa.