Mh.Pinda abaki mpweke !

Mh.Pinda abaki mpweke !

kensh

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2012
Posts
527
Reaction score
113
Hoja ya mahakama ya kadhi tumeiona jinsi ilivyoibua hisia kali na hali ya sintofahamu ktk jamii.Ilipelekea Mh.Mtikila kuwahi mahakamani kuipinga isizungumzwe bungeni.

Maaskofu na watu wasio na maslahi na mahakama ya kadhi,waliipinga kwa hoja na hata kuionya serikali isithubutu kuinzisha mahakama hiyo.

Waziri mkuu na mwanasheria mkuu waliikomalia na kushawishi sana kuwa haina madhara endapo ikijadiliwa na hata kupelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo ya kadhi.Huenda ilikua janja ya nyani kula indi bichi ili kushawishi kundi linalodai mahakama hiyo na kupata kuungwa mkono kwa mambo fulani yanayotakwa na wapenda madaraka.

Sasa ni wazi kuwa mswada wa mahakama ya kadhi umetoswa baada ya kuona jinsi hali ya hewa ilivotaka kuchafuka huko bungeni na baadaye ingekua huku uswazi(MUNGU aepushie mbali)

Hivyo,endapo Mh.Pinda alitaka kuwafurahisha waislamu,sijui sasa atawaambia nini? Na huko kwa wakristo nako sijui atawaeleza nini? Atagombea urais kweli,au amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe?

Wanasiasa huwa hawana aibu,ngoja tumsubiri !
 
Hakuna waziri mkuu atayekuja kuwa rais wa Tanzania.
 
Kaharibu menyewe alikua achukue nchi! Mmasai Lowassa anachukua nchi! Pole sana mi nilikupenda kuliko Lowassa lakini kadhi imekupenda zaidi!
 
Hoja ya mahakama ya kadhi tumeiona jinsi ilivyoibua hisia kali na hali ya sintofahamu ktk jamii.Ilipelekea Mh.Mtikila kuwahi mahakamani kuipinga isizungumzwe bungeni.

Maaskofu na watu wasio na maslahi na mahakama ya kadhi,waliipinga kwa hoja na hata kuionya serikali isithubutu kuinzisha mahakama hiyo.

Waziri mkuu na mwanasheria mkuu waliikomalia na kushawishi sana kuwa haina madhara endapo ikijadiliwa na hata kupelekea kuanzishwa kwa mahakama hiyo ya kadhi.Huenda ilikua janja ya nyani kula indi bichi ili kushawishi kundi linalodai mahakama hiyo na kupata kuungwa mkono kwa mambo fulani yanayotakwa na wapenda madaraka.

Sasa ni wazi kuwa mswada wa mahakama ya kadhi umetoswa baada ya kuona jinsi hali ya hewa ilivotaka kuchafuka huko bungeni na baadaye ingekua huku uswazi(MUNGU aepushie mbali)

Hivyo,endapo Mh.Pinda alitaka kuwafurahisha waislamu,sijui sasa atawaambia nini? Na huko kwa wakristo nako sijui atawaeleza nini? Atagombea urais kweli,au amejikaanga kwa mafuta yake mwenyewe?

Wanasiasa huwa hawana aibu,ngoja tumsubiri !

Said Peter ajirejeshe na chenji irejeshwe
 
Kusema ni rahisi. Shughuli ni kutenda.

Ungekuwa kwenye kiti cha waziri mkuu na changamoto (controversial issues) kama haya yanatokea sijui ungefanya nini zaid ya anachokifanya Pinda muda huu.

Uongozi si lelemama kama udhaniavyo..
kensh , @vuta nkuvute , stabilaza na wengineo
 
Last edited by a moderator:
Kiongozi yeyote asiyeweza kuilinda, kuisimamia na kuitetea katiba yetu, huyo hatufai. Pinda hafai hata kuwa mwenyekiti a kijii kwa sababu haheshimu haki za binadamu, hajali katiba ya nchi, wala nia ya kujenga taifa imara lenye mshikamano na amani hana.

Amejidhihirisha ni namna gnai anaweza ktumiwa na itikadi yoyote kusaliti nchi na watu wake halafu asijitambue kwamba ana haribu.

Aliamuru majeshi yapige raia wasio na silaha wakitafuta haki zao kikatiba kwa mba amechoka. Leo nguvu ya kuliingiza taifa kwenye mapigano ya kidini amezitoa wapi?

Alisema eti Waziri asipokuwa mbunge hataweza kuwatumikia vizuri wananchi kwa sababu hatajua hali na mahitaji yyao sahihi ikatoa namna gnai kichwa chake kilishaacha kufikri na bila shaka anapoteza kumbukumbu zake haraka.

Amekusanya kusanya viongozi kadhaa wa dini kulazimisha maridhiano ya kadhi, pamoja na kukataa kwao akaibuka na taariga kwamba wameafiki. Hii ni tabia ya udanganyifu na ulaghai inayoangamiza taifa kwa kufanya maamuzi yasiyo sahihi yanayojengwa kwenye taarifa za kupikwa.

Ameendelea kuishauri serikali itumie ubabe katika masuala yote yenye utata kuazia kura za mitaa, BMk, unandikshwaji wa wapiga kura, kura za maoni na miswada mbali mbali inayoelekea kutusababishia shida hata kabla ya uchaguzi mkuu.

Huyu anatahili kupumzika kwa sababu amechoka. Bila hivyo, tutegemee majanga makubwa kama hli la kadhi kwenye katiba, unless watu watumienguvu kubwa kudhibiti nyendo zake.

LAKINI URAISI ASAHAU, INGAWA ANATAKIWA KUAGALIWA KWA UKARIBU SANA KWA KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA KWA SABBU NINAONA WAMEJIZATITI KUMALIZIA HUJUMA WALIZOZIANZA KWA TAIFA YEYE NA MKUU WAKE.

SAFARI ZA ARABUNI NINAOMBA NGUVU YA MUNGU IMFUNGIE KUANZIA SASA HADI ATAKAPOACHA UONGOZI.
 
KUNA WAKATI MWINGINGE Mh.Pinda huwa anapinda,hakika ktk hili alipinda na iwe funzo kwa watu wa aina yake
 
TuntemekeSanga, controversial situations zilizopo hazijaota from non where. Zina foundation kamili ambazo wao wenyewe walizitengeneza ama wakijua zingwalipukia ama kiongozi ajaye zingemlipukia ili mradi wamekamilisha nia zao.

Serikali ina machinery zote, na hatutegemei ifanye kazi kwa kubashiri bashirikama wapiga ramli, mfumo ambao umetumika sana katika awamu hii ya nne. Mipango mingi haina utaalam wakati serikali inawataalam tena walio competent sana. Ama walienguliwa kwa maslahi binafisi, ama mawazo yao yaliwekwa kando kwa kuonekana yanakinzana na maslahi ya watawala, ama hawakufikiriwa kama wana maana na faida kulingana na mitazamo juu ya thamani ya elimu na utaalam wa viongozi wa nchi.

Yanayotokea haya, ninaomba liwefundisho kwa wananchi, ili kuwa makini na aina ya viongozi tunaowaweka madarkani, namna tunavyowapata viongozi hawa, mfumo wanaoutumia kuingia madarakani na itikadi za mfumo huo, kama ni chama, n.k, lakini pia namna gani katiba na sheria zilizo loose vile zinaweza kutumika kinyume na matarajio kama mnapata viongozi wa aina hii.

Upande mwingine ni wa watawala kwamba, yanayozikuta nchi zingine, tanzania haina kinga dhidi yake. Utawala mbovu, usiojali, wenye unafiki na udanganyifu, usiosimamia maslahi ya umma, unaogawanya watu, usiowajibika kwa watu wake, wenye dharau na matabaka, wizi na rushwa, siku zote utaend up kwenye instabilities ambazo madhar yake hayataishia kwa watawaliwa tu.

TUCHAGUE VIONGOZI WETU KWA KUZINGATIA MIRENGO NA ITIKADI ZA VYAMA VYAO AMBAVYO NDIVYO VITA WASUPPORT KATIKA MIONGOZO NA UTEKELEZAJI WA ILANI NA KATIBA; UWEZO NA NIA ZAO KATIKA KULITUMIKIA TAIFA. USHABIKI USIOKUWA NA VIGEZO NI HASARA. (MFANO DHAHIRI TUMEONA CCM AMBAVYO IMEKWAMISHA MASUALA MENGI YA MAENDLEO KATIKA AWAMU HII YA NNE HATA PALE VIONGOZI BINAFSI WALIKUWA TAYARI KUFANYA).

TUTENGENEZA KATIBA YENYE MACHO YA KUONA MBALI MAANA TUMEONA NAMNA GANI KATIBA YETU YA IMANI ILIVYOKUWA ABUSED.

VIONGOZI TUTAKAOWACHAGUA, WAJUE NI WATUMISHI NA SI MA BOSS!.

KWA MTINI TUMEJIFUNZA


Kusema ni rahisi. Shughuli ni kutendala.

Ungekuwa kwenye kiti cha waziri mkuu na changamoto (controversial issues) kama haya yanatokea sijui ungefanya nini zaid ya anachokifanya Pinda muda huu.

Uongozi si lelemama kama udhaniavyo..
kensh , @vuta nkuvute , stabilaza na wengineo
 
Kusema ni rahisi. Shughuli ni kutenda.

Ungekuwa kwenye kiti cha waziri mkuu na changamoto (controversial issues) kama haya yanatokea sijui ungefanya nini zaid ya anachokifanya Pinda muda huu.

Uongozi si lelemama kama udhaniavyo..
kensh , @vuta nkuvute , stabilaza na wengineo

Hii ni rahisi sana kutatua kuliko lolote

Ningesimamia msimamo wa katiba

serikali haina Dini na kila dini ishughulikie mambo yake ya ibada kwa mujibu wa taratibu za kanisa au msikiti.

Ni rahisi kiasi hicho. Pinda, kikwete na ccm yao inawawia vigum kwasababu wanafanya nje ya jatiba na hivyo kuonekana wanavuruga Taifa kwa kuvunja katiba hadharani.
 
Last edited by a moderator:
Sitaki kuamini kabisa kwamba Pinda na mwana sheria mkuu wa serikali eti hawakujua kwamba mahakama ya kadhi haiwezi kuingia kwenye mfumo wa serikali, minaona kama walifanya makusudi tu ili kubalance mambo. Pinda ali ona angekataa mwenyewe ange kuwa kwenye lawama ndio mana akakomalia tu lakini alijua kabisa kitakacho tokea.
 
Kusema ni rahisi. Shughuli ni kutenda.

Ungekuwa kwenye kiti cha waziri mkuu na changamoto (controversial issues) kama haya yanatokea sijui ungefanya nini zaid ya anachokifanya Pinda muda huu.

Uongozi si lelemama kama udhaniavyo..
kensh , @vuta nkuvute , stabilaza na wengineo

Nasikia kumbe tayari anaitwa alhaji pinda,
 
Last edited by a moderator:
Mnamwongelea Pind huku mnasahau kuwa Mahakama ya Kadhi iko kwenye ilani ya CCM...Sio jambo binafsi la Pinda
 
Kaharibu menyewe alikua achukue nchi! Mmasai Lowassa anachukua nchi! Pole sana mi nilikupenda kuliko Lowassa lakini kadhi imekupenda zaidi!

Labda Masai achuue nchiya mamayako
 
Kaharibu menyewe alikua achukue nchi! Mmasai Lowassa anachukua nchi! Pole sana mi nilikupenda kuliko Lowassa lakini kadhi imekupenda zaidi!

Ndoto ni nzuri pale unapoota ukiamka inakuwa tofauti.
 
Pinda alifaa kuwa waziri mkuu wa mashambani au wakulima wa nyanya chungu
 
Back
Top Bottom