Mh! nikweli Rey ulisafiria nyota ya mwenzio?

Mh! nikweli Rey ulisafiria nyota ya mwenzio?

Jicho tu

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2014
Posts
217
Reaction score
51
Nimekuwa nikifatilia bongo movie kabla na baada ya kufariki kwa msanii alokubalika zaidi ndani na nje ya nchi, kulikuwa na ushindani wa hali ya juu kati ya Steven Kanumba(R.I.P) na Vicent Kigosi Rey.

Llakini tangu mshindani mwenzake atangulie mbele ya haki ni kama umekuwa vuguvugu sio moto tena ule moto wako haupo tena au alikuwa anasafiria nyota ya mwenzie? kwa sasa ilitakiwa awe juu zaidi ya wote hao why Rey?
 
Hapna csafirii nyota nyota ya mtu me nausafiri wangu nina lexus mbona na vgari gari kbao vyo rj co ltd .hahaha
 
Back
Top Bottom