Mh Nassari leo kaonyesha uanaume

Mh Nassari leo kaonyesha uanaume

nyinyi watu humu ndani JF ni wap*mb*vu sijawahi kuona. Mnamsifia Nassari kwa kufanya kazi ambayo ni wajibu wake kama mbunge? Mbona wakifanya ccm kazi zao na watu wakiwatetea nyinyi magwanda mnakuja juu kama mmepigwa vijiti vya masaburi ? Ebu tulieni alaaaa

Mbona povu limekujaa sana mdomoni,vipi ndugu imekuuma sana nini?POLE!
 
Mh leo alikua na mkutano na wanakijiji wa kijiji chaMbuguni,kafanya maamuzi magumu kwa kuwarudishia wanakijiji soko lao ambalo lilikua limetaifishwa na wajinga wachache akiwemo diwani na Katibu Tarafa.

Wananchi wameimba sana wanataka soko lao wakiongozwa na mh Mbunge.
Nyie watoto wadogo mna matatizo sana.

Nassari siyo executive ni mwanasiasa.

Sasa hebu tuwekee hapa mtandaoni waraka wake wa utekelezaji, kile alichoamua huyo dogo.

Msijivishe vilemba vya ukoka na huku mnaonekana wajinga!
 
Aliewahi kumiliki timu ya mpira wa miguu, na toyota Dyna Clippers nyigni tu enzi zake. Aliewahi kumwaga hela kwa dirishani watu wazipiganie.
Si alipiga bingo ya milioni 950 akawehuka kipindi hicho pesa yetu angalau ilikuwa na nthamani.
 
Big up xana Mh Nasary kwa kuturudishia soko wana mbuguni. kaza buti kaka kaz za miaka unafanya kwamiezi.
 
Hivi siku hizi Mbunge ni mtendaji?Au Bunge limekuwa serikali?
 
Back
Top Bottom