KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,150
Mabepari hayo unafikiri wanaongelea nini zaidi ya kupanga mipango ya kukuza mitaji Yao!
Kwani JK amewaweza wafanyabiashara/mafisadi wangapi?Hivi slaa akiwa Rais atamuweza mfanyabiashara mbowe pamoja na wafanyabiashara wenzake kweli?!!!
Kwani JK amewaweza wafanyabiashara/mafisadi wangapi?
Mzee naona bado unakula tu, siku nyingine uwe unatumia sahani. unene mwingi siyo sifa.He!Kwahiyo Dr Slaa pia atafanya kama JK?Basi kumbe Gwandaz na Gambaz lao moja ni ufisadi tu.
Mzee naona bado unakula tu, siku nyingine uwe unatumia sahani. unene mwingi siyo sifa.
Hivi slaa akiwa Rais atamuweza mfanyabiashara mbowe pamoja na wafanyabiashara wenzake kweli?!!!
una kifua kizuri utanioa freeman?
radhi radhi radhi radhi radhi.Khaa...! Mtake radhi tafadhali.
mabepari hayo yameshatoka kwenye maisha ya ukomedi bungeni sasa wako nje kwenye maisha halisi ya kupanga jinsi gani ya ku get more money.