Mbowe na Pinda walijikuta wamekaa pamoja kanisani mara mchungaji akasema mgeukie mwenzio mwambie wewe ni mzuri,mbowe alipomgeukia pinda akaanza kucheka kisha akamwambia mchungaji mwambie mwenyewe mi sitaki dhambi......
Mwanaume asifiwi sura...!
Kama vipi yeye na mchungaji wake "wapigwe tu"