Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,693
- 218,212
Leo ile kazi iliyotukuka inaendelea tena
Wote mnakaribishwa .
Karibu sana mkuu
Pambana mwamba uwavushe wamachame hao kaka mkubwa!
Karibu sana mkuuPambana mwamba uwavushe wamachame hao kaka mkubwa!
Tunakuja next week kuwaletea vitendea kazi viongozi wa CCM!Karibu sana mkuu
da yaani we ni mbishi kwa kweli yaani jana alikuwa na watu 150leo bado unamtukuza tu tatizo wananchi washamchoka wanataka waambiwe amewafanyia nini miaka yote hiyo eye anawaletea malumbano na sabayaKaribu sana mkuu
Siyo vile alivyogawa Sabaya ?Tunakuja next week kuwaletea vitendea kazi viongozi wa CCM!
Karibu sana kamandada yaani we ni mbishi kwa kweli yaani jana alikuwa na watu 150leo bado unamtukuza tu tatizo wananchi washamchoka wanataka waambiwe amewafanyia nini miaka yote hiyo eye anawaletea malumbano na sabaya
da yaani we ni mbishi kwa kweli yaani jana alikuwa na watu 150leo bado unamtukuza tu tatizo wananchi washamchoka wanataka waambiwe amewafanyia nini miaka yote hiyo eye anawaletea malumbano na sabaya
atakula nini ?
Hapo Mbowe yuko wapi ?
Hivi ni vingine bwashee!Siyo vile alivyogawa Sabaya ?
humuoni eeee utamuona tu ukienda kaisha hana sera arudi akapige madisco yake hukoHapo Mbowe yuko wapi ?
Endeleeni kujifurahisha kwa kutunga uongohumuoni eeee utamuona tu ukienda kaisha hana sera arudi akapige madisco yake huko
ili iweje ?
HAPO TU UKIIANGALIA HIYO PICHA UNAONEKANA HUNA FURAHA UTAPATA PRESHA HAMIA HUKU KWETU NI RAHA TUPUEndeleeni kujifurahisha kwa kutunga uongo