Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

Mh. Majaliwa ondoka na vichwa hapo Bukoba

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,553
Mh. hongera sana, sielewi kama unaelewa msingi wa pongezi zangu. Ninamaanisha, hawamu hii ya tano mmeweza kuelewa kwamba mkoa wa Kagera na watendaji wa serikali ni "mizigo", wababaishaji, wazembe, wezi n.k .. Kimsingi si waadirifu hata kidogo.

Na naona hili umeweza kulibaini vizuri sana na hii inatokana na safari ambazo umeshazifanya katika mkoa huu, nadhani hii ni mara ya nne kama sikosei na kila ukirudi mambo ni yale yale. Nakusihi mh. Waziri mkuu, tumbua. Kuna watu manunda, hayasikii mvua wala jua, hebu fanya kuwaweka benchi kwanza wakuu kadhaa wa Idara hasa hasa hapa manispaa.

Mie nakusihi tu, kwamba najua unakereka sana na aina ya viongozi eneo hili, usipate kigugumizi kuwafyekelea ziwani. Wanafanya vile eti kisa ni mbali na Dar/Dom na kwasababu huu mkoa uko pembezoni kabisa na kwamba hata media zingine hazifiki kama maeneo ya karibu na Ikulu

Ondoka na vichwa kadhaa mh
 
Uzuri mmoja wakuu wengi wa idara huko halmashauri zenu za wahaya ni niny wenyewe na huwa mnadidimiza mkoa wenu wenyewe
Na wazo hata liwe zuri likitolewa na mtu (kiongozi)ambaye sio wa huko mnampuuza kwakuwa ni "mnyamahanga" mnajitia mnajua kila kitu kumbe upuuzi,ndio maana hata ile stand ya kyakairabwa Hadi Leo nothing kisa ubishi wenu usio na faida
Nilishamwambia siku moja kuwa adui wa maendeleo yenu Ni nyie wenyewe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee viongozi wa manispaa ya Bukoba sijui wana matatizo gani. Yaani kwenye manispaa wameshakwamisha miradi mingi tu, nashangaa serikali kuendelea kuwaonea haya. Kwa kweli viongozi wakubwa wasipoingilia kati hawa jamaa wanaiharibu maspaa kwa kasi ya ajabu
 
Mh. hongera sana, sielewi kama unaelewa msingi wa pongezi zangu. Ninamaanisha, hawamu hii ya tano mmeweza kuelewa kwamba mkoa wa Kagera na watendaji wa serikali ni "mizigo", wababaishaji, wazembe, wezi n.k .. Kimsingi si waadirifu hata kidogo.

Na naona hili umeweza kulibaini vizuri sana na hii inatokana na safari ambazo umeshazifanya katika mkoa huu, nadhani hii ni mara ya nne kama sikosei na kila ukirudi mambo ni yale yale. Nakusihi mh. Waziri mkuu, tumbua. Kuna watu manunda, hayasikii mvua wala jua, hebu fanya kuwaweka benchi kwanza wakuu kadhaa wa Idara hasa hasa hapa manispaa.

Mie nakusihi tu, kwamba najua unakereka sana na aina ya viongozi eneo hili, usipate kigugumizi kuwafyekelea ziwani. Wanafanya vile eti kisa ni mbali na Dar/Dom na kwasababu huu mkoa uko pembezoni kabisa na kwamba hata media zingine hazifiki kama maeneo ya karibu na Ikulu

Ondoka na vichwa kadhaa mh
Acha uchawi, mchawi wewe , wahaya wana roho mbaya hasa wa kiziba. Oli "kilogo".. nimesikia wenzako wanasema
 
Uzuri mmoja wakuu wengi wa idara huko halmashauri zenu za wahaya ni niny wenyewe na huwa mnadidimiza mkoa wenu wenyewe
Na wazo hata liwe zuri likitolewa na mtu (kiongozi)ambaye sio wa huko mnampuuza kwakuwa ni "mnyamahanga" mnajitia mnajua kila kitu kumbe upuuzi,ndio maana hata ile stand ya kyakairabwa Hadi Leo nothing kisa ubishi wenu usio na faida
Nilishamwambia siku moja kuwa adui wa maendeleo yenu Ni nyie wenyewe


Sent using Jamii Forums mobile app
Waambie wajifunze Moshi... Yaani sijaona mkoa mzuri Kama Kilimanjaro. Wanapanga Mambo yao yanapangika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee viongozi wa manispaa ya Bukoba sijui wana matatizo gani. Yaani kwenye manispaa wameshakwamisha miradi mingi tu, nashangaa serikali kuendelea kuwaonea haya. Kwa kweli viongozi wakubwa wasipoingilia kati hawa jamaa wanaiharibu maspaa kwa kasi ya ajabu
Wakuu wengi wa idara hapo bk mc ni nyie wenyewe kwa wenyewe
Kwahiyo mnajimaliza wenyewe ukienda hapo ktk ofisi za halmashauri utashangaa kihaya mwanzo mwisho utadhan upo Kijijin sijui ni ushamba
Ukienda muleba DC,misenyi DC nako ni kilugha mwanzo mwisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha uchawi, mchawi wewe , wahaya wana roho mbaya hasa wa kiziba. Oli "kilogo".. nimesikia wenzako wanasema
Wahaya wenyewe kwa wenyewe ndio wanajimaliza ktk hizo halmashauri Zao
Wao wamekalia ubishi tuuu n'a kuzungumza kilugha ktk afisi za umma
Alafu wanabaguana wenyewe kwa wenyewe huko ofisini Mara mhaya wa kuziba,Mara wa kamachumu,Mara wa kyaka ndio ajione bora zaidi yaan vituko vitupu nenda misenyi DC utaona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv stendi walishaimaliza?

Sent using Jamii Forums mobile app
Walimaliza wapi wakati hata hawajaanza? Hela za wb mlibishana hadi zikarudi
Mmekalia ubishi huko halmashauri zenu
Nilishangaa nafika misenyi DC,bk, muleba DC nakuta watu wanachapa kihaya ofisini hatari utadhan upo Kijijin
Mnajimaliza wenyewe kwa ubishi wenu na ubaguz
Ofisin mnabagua "wanyamahanga" isitoshe mnabaguana Wenyewe kwa wenyewe Mara mhaya wa kiziba,Mara wa kamachumu,Mara wa kyaka upuuz tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom