Mh. Magufuli anarudisha mfumo wa chama kimoja kupitia dirishani

1468068372140.jpg
chama kushika hatamu
 
Nyerere anasema kiongozi yoyote anaevunja katiba hatufai hata kidogo
Ndo ukweli. Sasa kuna umuhimu gan kupinga mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria/kikatiba...
Inawezekana hata huyo ki**za mwenyewe aliekaza eti mkoan kwake hakuna mikutano mpaka 2020 haijui hio katiba ipoje
 
we umesoma shule wapi? unacho uliza ndo ukawa walikuwa wana kiandaa, kabla hawajamaliza ccm ikatuma vibaraka wakaharibu mfumo na waandaaji wakaswekwa rumande, kumbuka pia mgombea wa ukawa alipeleka malalamiko Tume ya uchaguzi, hawakumsikiliza,
Kumbe bado unaucheza wimbo usioujua,unafahamu kwamba vyama vya siasa vina copies za fomu za uchaguzi kutoka kila jimbo,sasa kwanini hizo fomu zisitumike ili tuone ukilichoibwa.
 
Kwa Magu mfumo Wa vyama vingi ni kitu ambacho hakipo. Na huyo ndiye Nyerere mpya. Anafata nyayo za Nyerere aliyefuta mfumo Wa vyama vingi.


Amekuja kuwaletea watanza ia maisha magumu na umaskini.

Kazi ya serikali kwenye nchi huru ni kuwawekea wananchi mazingira mazuri ya kukuza vipato vyao na sio kuwaumiza kwa kodi kubwa kila mwaka na kuwanyima uhuru wa kukosoa na kushauri mbinu za kukuza uchumi bila kuwaumiza maskini wasio na hata milo miwili.

Hizo mbinu za serikali hii ya CCM ni mbinu za kikoloni za kuwafanya maskini kuwa mitaji ya watawala ilhali wao hawana kipato cha kuendesha maisha yao.
 
we umesoma shule wapi? unacho uliza ndo ukawa walikuwa wana kiandaa, kabla hawajamaliza ccm ikatuma vibaraka wakaharibu mfumo na waandaaji wakaswekwa rumande, kumbuka pia mgombea wa ukawa alipeleka malalamiko Tume ya uchaguzi, hawakumsikiliza,
mi sijasoma ndugu yangu,kama ndio walikuwa wanaziandaa basi walikuwa wanafoji,fomu zinaandaliwa na NEC,kutuonesha fomu za nchi nzima hakuna uhusiano na tally center,mpaka leo hizo fomu hatujawahi kuziona zaidi ya kusikia malalamiko ya kuibiwa.
 
kufikia 2020, hakutakuwa na mtu ambaye hajakerwa na maamuz ya mukulu, yaani iwe ni kodi, kupunguziwa mshahara..
 
Back
Top Bottom