Halafu jamaa yeye ndiyo "mshamba kweli" eti anauliza mtoto akizaliwa kwenye basi au ndege anakua raia wa wapi?!!!
With morons like these as our leaders this country will never go forward.
Mkuu watanzania tumwombee huyu mbunge ili walau mungu ampe busara kidogoMkuu, watu wengi huwa tunadhani kuwa usomi ndio kipimo cha mtu mwenye hekima na busara. Ni kweli mtu msomi licha ya kuheshimika katika jamii lakini pia anatumika kama mshauri katika masuala mbalimbali yakiwemo ya kitaaalamu au hata ya kijamii, pale itakapohitajika ushauri katika kupata suluhu iwapo kutatokea kusigishana katika jamii.
Lakini vidato pekee haviwezi kupambanua kiwango cha busara na hekima alizo nazo mtu. Na hii inatokana na jinsi wasomi wetu walivyofinyangwa kuanzia katika malezi mpaka huko mashuleni. Kama elimu ndiyo kipimo cha hekima na busara ni dhahiri kabisa leo kusingekuwepo na ufisadi na ubadhirifu ambayo hufanywa na wasomi wanaotegemewa. Kama elimu ndiyo kipimo cha hekima na busara ni dhahiri kabisa Halima Mdee asingesema kwenye mkutano wa hadhara kuwa Wassira ana sura mbaya kama ya sokwe mtu.
Kwa hiyo, Lusinde hakuhitaji kuwa msomi ili asimwage yale matusi. Alichohitaji ni hekima na busara tuu. Naamini kabisa mtu aliyeishia darasa la saba ana uwezo wa kuwa na hekima na busara ya kutoongea matusi ya aina ile hadharani tena kwenye mkutano wa kampeni za kisiasa.
Rudi katongoze kule mmu, hapa waachie watu wazima waongee siasa!mnaona sasa?
kumbe aliwahi kuwa NEC ya CHADEMA?
na alianzia CUF pia....
ha haaa ilikuwaje CHADEMA wakamuingiza NEC yao mtu kama huyu?
Mkuu ingawa yale maneno yalikuwa makali kiaina fulani lakini ilionekana kama anajibu mapigo ya upande fulani, sasa kwanza kabla ya kumjadili Lusinde tujiulize kama ni kweli yale aliyoyaita majibu kuwajibu baadhi ya viongozi wa CDM yalitamkwa na hao viongozi?
Kimsingi kama ni kweli yupo mweshimiwa wa CDM aliyesema SIOI ni shoga ilikuwa haijatulia, wakati tunajadili haya lazima tukiri kuwa wapo baadhi ya viongozi katika vyama vya siasa wasiotofautisha kati ya mitaani/vijiweni na kwenye kampeni.
[TABLE="class: cms_table_grid, width: 500"]
[TR]
[TD="align: center"]CHADEMA[/TD]
[TD="align: center"]Member - National Executive Board[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Kumbe alipotoka CDM ndo akahamia CCM, basi tumeshajua wapi alikojifunza yale anayopractise!
Maana inabidi ujiulize na hao waliomchagua kuwa mmbunge wao kama wana akili timamu vilevile.
My take nikwamba kuna watu sehemu zingine za Tanzania wamechoka tena kusikia majina yale-yale kwenye chaguzi zao ilimradi yeyote mwenye kipaza sauti lakini si fualni.
Lakini kweli ameweza pita vipi kwenye kura za maoni huko chamani na hata kuja kuchaguliwa kwenye uchaguzi mkuu, kwakweli ignorance bado ni tatizo kubwa kwenye jamii yetu.
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.
mkutano wa kampeni za ccm kata ya makiba
mbunge wa mtera, mjumbea wa nec ya ccm, livingstone lusinde aka kibajaji akihutubia makiba. Angali watoto wadogo mbele yake. Picha kwa hisani ya: full shangwe: Mkutano wa kampeni za ccm kata ya makiba watia fora
Mnamwandama kwa sababu ni Muislaam.............. Wagalatia bana.
Wakati nasoma thread yenye hotuba yake, nilidhan ni masikhara ya mtoa maada! Daaaah! Naogopa kuamini, kwani ni aibu kubwa kwa mtu mzima! Au anavuta bangi??