Chadema Diaspora
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 480
- 644
Yah right.... Unamlinganisha Congressman na mbunge wa Kenya.Hahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
Yah right.... Unamlinganisha Congressman na mbunge wa Kenya.
Kesho utadai kuwa Rais wa TZ ni Sawa na wa USA... Kwa vile wite ni Wakuu wa nchi!!
Then utakuwa unajua vizuri influence ya Congressman kwenye politics za US...!!Kukutana na congressman wa USA siyo ishu hata mimi nishawahi, ni kawaida sana hata wewe ukitaka unaweza kulingana na unachofanya.
Inategemea ulikutana naye kwa jambo lipi kama mlikutana baa itatusaidia nini.Kukutana na congressman wa USA siyo ishu hata mimi nishawahi, ni kawaida sana hata wewe ukitaka unaweza kulingana na unachofanya.
Hahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
ahahaha namba mbili wanaichafua zaidiiWANAOICHAFUA NCHI UGAIBUNI
1. TUNDU LISU
2. SIMBA SPORT CLUB
Kweli kabisa upo sahihi news ni mtukufu kula madafuHahaha yaani Mbunge wa Burundi au Kenya aje JMTZ akutane na J. Heche halafu iwe news kweli?
WANAOICHAFUA NCHI UGAIBUNI
1. TUNDU LISU
2. SIMBA SPORT CLUB
Then utakuwa unajua vizuri influence ya Congressman kwenye politics za US...!!
Abroad
Sawa lakin badae msianze kulia lia hapa Lissu anawatukania kwa CogressmanKukutana na congressman wa USA siyo ishu hata mimi nishawahi, ni kawaida sana hata wewe ukitaka unaweza kulingana na unachofanya.