Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Wanabodi
Nianze kwa kuwatakia heri ya mwaka 2015
Binafsi naamini ni mwaka wa marejesho,mwaka uliojaa matukio ya kihistoria kwa Taifa letu,uchaguzi mkuu,kura ya maoni,kuandikishwa etc
Hapa Arusha jana ilikuwa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya makamanda waliopoteza maisha wakipinga uchaguzi wa meya wa arusha,jambo la kusikitisha na kuumiza zaidi hasa sisi wafiwa ni kitendo cha dharau cha Mh Lema mbunge wa Arusha kukataa kuzungumza na umati mkubwa uliokuwepo uwanjani kwa madai ya kitofo kuwa umati ule yaani sisi tulioacha shughuli zetu kuja pale sio size yake,mh lema umejisahau mapema sana,wewe ni nani?miaka minne tu umejisahau hivi?CHADEMA ndio imekufikisha hapo ulipo leo unatutukana hadharani wananchi wako?tumekukosea nini?mimi ni kamanda lakini dharau zako zina mwisho.
Nianze kwa kuwatakia heri ya mwaka 2015
Binafsi naamini ni mwaka wa marejesho,mwaka uliojaa matukio ya kihistoria kwa Taifa letu,uchaguzi mkuu,kura ya maoni,kuandikishwa etc
Hapa Arusha jana ilikuwa siku ya kumbukumbu ya mauaji ya makamanda waliopoteza maisha wakipinga uchaguzi wa meya wa arusha,jambo la kusikitisha na kuumiza zaidi hasa sisi wafiwa ni kitendo cha dharau cha Mh Lema mbunge wa Arusha kukataa kuzungumza na umati mkubwa uliokuwepo uwanjani kwa madai ya kitofo kuwa umati ule yaani sisi tulioacha shughuli zetu kuja pale sio size yake,mh lema umejisahau mapema sana,wewe ni nani?miaka minne tu umejisahau hivi?CHADEMA ndio imekufikisha hapo ulipo leo unatutukana hadharani wananchi wako?tumekukosea nini?mimi ni kamanda lakini dharau zako zina mwisho.