Mh. Lema amepoteza political credibility

Mh. Lema amepoteza political credibility

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
BILA SHAKA MTAKUBALIANA NA MTAZAMO HUU JUU YA MH LEMA
kama kiongozi ambae anapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda aman na utulivu wa nchi MH LEMA kwa makusudi ameamua kulipuuza hilo na mara nyingi amekuwa akileta mitafaruku na maaandamo yasiyo na tija KATIKA JIJI LA KITALII NA KUHATARISHA UCHUMI WETU kwa kushawishi vijana kutotii sheria
vile vile kama MBUNGE kulilia suala la posho nidhahiri MH MBUNGE alitarajia makubwa kwa kuwa kwake bungeni na kusahau kauli ya raisi KENNEDY KWAMBA kwan umeifanyia nn TANZANIA mpk udai posho ambazo ni unyonyaji wa wazi usiseme TANZANIA IKUPE POSHO WEWE UMEIFANYIA NN HIYO TANZANIA.
BILA kusahau kuwa kama kiongozi unapodharau ushauri wa wananchi hapo unakosa CREDIBILITY mfano MH LEMA ALISHAURIWA kama anatofautiana na MH ZITO basi alipeleke tuhuma zake kwenye vikao halali na kwa kuwa ushahidi anao dhidi ya anachokituhumu basi hapo ndio ingekuwa mahala pake na MH ZITO ANGEPEWA HATUA ZA KINIDHAMU lakini cha kushangaza MH MBUNGE akakimbilia KUROPOKA kwenye mitandao ya kijamii kwa weledi wa mambo inaitwa naenda kummaliza huyu jammaa kumbe maskini anajimaliza mwenyewe kwan tumefahamu kama wananchi kuwa issue ilikua si posho chukua ule msemo wa waingereza MPE MBWA JINA BAYA ILI UWEZE KUMUUA kwani waingereza wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazma utatafute sababu kwamba labda anakula vifaranga nk upate kumuua
kama kiongozi wa kitaifa siungi mkono watu waliotengeza picha za kipuuzi za MH LEMA ILA kama busara ingekua imemtuma mh mbunge ASINGETHUBUTU KUPRINT PICHA ZA KIPUUZI NA KUWAPA WATU WAONE, lakini busara ya wananchi walimwomba MH NI BORA ZICHOMWE KULIKO KUENDELEA KUZISAMBAZA utaona jinsi busara ya MH INAVYOPUNGUA ANAPOKUA NA MATATIZO NA HIYO HUMPUNGUZIA CREDIBILITY KWANI kama kiongozi ukiongozwa na hasira chuki malipizo mwisho unaharibu kabisa, chukua msemo USICHUKUE MAAMUZI MAZITO WAKATI UNA HASIRA KWANI HASIRA NI HASARA KAMA SI MJUKUU
MYTAKE
KWA MUDA mfupi aliokaa kama mbunge MH LEMA AMEPOTEZA POLITICAL CREDIBILITY NA KAMA KATIBA MPYA INGEKUWEPO TUNGEPITISHA PETITION YA KUMNG'OA KAMA MBUNGE
 
Katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania inaruhusu freedom of speech
 
Huna hoja yeyote ya msingi.unge kaa kimya ingekua busara,,kuliko utumbo ulio ulio poteza muda kuandika,
 
Huna hoja yeyote ya msingi.unge kaa kimya ingekua busara,,kuliko utumbo ulio ulio poteza muda kuandika,

NIMEPENDA kwa kuwa umechukua tym kusoma hasa ndio kusudio langu ila kukubaliana nami hio ni juu yako
 
BILA SHAKA MTAKUBALIANA NA MTAZAMO HUU JUU YA MH LEMA
kama kiongozi ambae anapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda aman na utulivu wa nchi MH LEMA kwa makusudi ameamua kulipuuza hilo na mara nyingi amekuwa akileta mitafaruku na maaandamo yasiyo na tija KATIKA JIJI LA KITALII NA KUHATARISHA UCHUMI WETU kwa kushawishi vijana kutotii sheria
vile vile kama MBUNGE kulilia suala la posho nidhahiri MH MBUNGE alitarajia makubwa kwa kuwa kwake bungeni na kusahau kauli ya raisi KENNEDY KWAMBA kwan umeifanyia nn TANZANIA mpk udai posho ambazo ni unyonyaji wa wazi usiseme TANZANIA IKUPE POSHO WEWE UMEIFANYIA NN HIYO TANZANIA.
BILA kusahau kuwa kama kiongozi unapodharau ushauri wa wananchi hapo unakosa CREDIBILITY mfano MH LEMA ALISHAURIWA kama anatofautiana na MH ZITO basi alipeleke tuhuma zake kwenye vikao halali na kwa kuwa ushahidi anao dhidi ya anachokituhumu basi hapo ndio ingekuwa mahala pake na MH ZITO ANGEPEWA HATUA ZA KINIDHAMU lakini cha kushangaza MH MBUNGE akakimbilia KUROPOKA kwenye mitandao ya kijamii kwa weledi wa mambo inaitwa naenda kummaliza huyu jammaa kumbe maskini anajimaliza mwenyewe kwan tumefahamu kama wananchi kuwa issue ilikua si posho chukua ule msemo wa waingereza MPE MBWA JINA BAYA ILI UWEZE KUMUUA kwani waingereza wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazma utatafute sababu kwamba labda anakula vifaranga nk upate kumuua
kama kiongozi wa kitaifa siungi mkono watu waliotengeza picha za kipuuzi za MH LEMA ILA kama busara ingekua imemtuma mh mbunge ASINGETHUBUTU KUPRINT PICHA ZA KIPUUZI NA KUWAPA WATU WAONE, lakini busara ya wananchi walimwomba MH NI BORA ZICHOMWE KULIKO KUENDELEA KUZISAMBAZA utaona jinsi busara ya MH INAVYOPUNGUA ANAPOKUA NA MATATIZO NA HIYO HUMPUNGUZIA CREDIBILITY KWANI kama kiongozi ukiongozwa na hasira chuki malipizo mwisho unaharibu kabisa, chukua msemo USICHUKUE MAAMUZI MAZITO WAKATI UNA HASIRA KWANI HASIRA NI HASARA KAMA SI MJUKUU
MYTAKE
KWA MUDA mfupi aliokaa kama mbunge MH LEMA AMEPOTEZA POLITICAL CREDIBILITY NA KAMA KATIBA MPYA INGEKUWEPO TUNGEPITISHA PETITION YA KUMNG'OA KAMA MBUNGE

Kama kapoteza mwacheni kumuongelea just ignore him and let him get rotten huko aliko ila kama kila siku unakuja na Ngogera za Chadema na Lema nk inaonyesha unaumizwa sana na kazi zake .Waacheni tunawaona kama Chadema na Lema wanafaa au hawafai kelele za nini ?
 
Kama kapoteza mwacheni kumuongelea just ignore him and let him get rotten huko aliko ila kama kila siku unakuja na Ngogera za Chadema na Lema nk inaonyesha unaumizwa sana na kazi zake .Waacheni tunawaona kama Chadema na Lema wanafaa au hawafai kelele za nini ?
unasahau uhuru wa kutoa maoni ni haki ya kila raia ndio mana hata wewe umepata nafasi ya kuandikahuo utumbo
 
Itisha uchaguzi leo jimbo la Arusha, then mpeLeke huko Mwana Lumumba yeyote unayemwanini wewe ie Kinana, Tyson, Mwigilu nk uone atakavyogaragazwa - Kipimo cha mwanasiasa bora ni kule kukubalika kwake kwa jamii anayoingoza - Lema is the ONE!
 
Mungu mlinde lema na wafuasi wote wa shetani maana wakimkumbuka tu lema maruhani yanawapanda mungu WASAMEHE
wote wasiokua na hekima kama huyu mleta mada hilo pepo likutoke katika jina la yesu
 
Huna hoja yeyote ya msingi.unge kaa kimya ingekua busara,,kuliko utumbo ulio ulio poteza muda kuandika,

Umesema kweli!!

Yaan siku hizi JF limekuwa ni JUKWAA LA UDAKU, mtu yoyote akiwa na udaku nuka wake, hata kama hana hoja anau-post tu humu hata kama ni utumbo.. Hoja zenye kujadili mstakabali wa nchi yetu hakuna tena... I swear si muda mrefu hili jukwa tunalizika maana moderators nao hawaeleweki ni kama wanashirikiana na hawa waleta utumbo..... hawajui kwamba hoja zile zenye mashiko ndo zililifikisha hapa lilipo..... days are numbered!!
 
Unahangaika sana na lema kila uchwao,kunyimwa tu ukatibu wa ofisi imekuwa nongwa.
 
Hizi ndo zile Thread za Lumumba ehh........Njooni Lumumba mchangie thread huku.....Maana Thread zenu hata page.moja ni ngumu kumaliza..
 
Lema wanasema ni mlemavu wa akili. Kwahiyo sio rahisi kuwa mstaarabu na hekima katika siasa zake.
 
BILA SHAKA MTAKUBALIANA NA MTAZAMO HUU JUU YA MH LEMA
kama kiongozi ambae anapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda aman na utulivu wa nchi MH LEMA kwa makusudi ameamua kulipuuza hilo na mara nyingi amekuwa akileta mitafaruku na maaandamo yasiyo na tija KATIKA JIJI LA KITALII NA KUHATARISHA UCHUMI WETU kwa kushawishi vijana kutotii sheria
vile vile kama MBUNGE kulilia suala la posho nidhahiri MH MBUNGE alitarajia makubwa kwa kuwa kwake bungeni na kusahau kauli ya raisi KENNEDY KWAMBA kwan umeifanyia nn TANZANIA mpk udai posho ambazo ni unyonyaji wa wazi usiseme TANZANIA IKUPE POSHO WEWE UMEIFANYIA NN HIYO TANZANIA.
BILA kusahau kuwa kama kiongozi unapodharau ushauri wa wananchi hapo unakosa CREDIBILITY mfano MH LEMA ALISHAURIWA kama anatofautiana na MH ZITO basi alipeleke tuhuma zake kwenye vikao halali na kwa kuwa ushahidi anao dhidi ya anachokituhumu basi hapo ndio ingekuwa mahala pake na MH ZITO ANGEPEWA HATUA ZA KINIDHAMU lakini cha kushangaza MH MBUNGE akakimbilia KUROPOKA kwenye mitandao ya kijamii kwa weledi wa mambo inaitwa naenda kummaliza huyu jammaa kumbe maskini anajimaliza mwenyewe kwan tumefahamu kama wananchi kuwa issue ilikua si posho chukua ule msemo wa waingereza MPE MBWA JINA BAYA ILI UWEZE KUMUUA kwani waingereza wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazma utatafute sababu kwamba labda anakula vifaranga nk upate kumuua
kama kiongozi wa kitaifa siungi mkono watu waliotengeza picha za kipuuzi za MH LEMA ILA kama busara ingekua imemtuma mh mbunge ASINGETHUBUTU KUPRINT PICHA ZA KIPUUZI NA KUWAPA WATU WAONE, lakini busara ya wananchi walimwomba MH NI BORA ZICHOMWE KULIKO KUENDELEA KUZISAMBAZA utaona jinsi busara ya MH INAVYOPUNGUA ANAPOKUA NA MATATIZO NA HIYO HUMPUNGUZIA CREDIBILITY KWANI kama kiongozi ukiongozwa na hasira chuki malipizo mwisho unaharibu kabisa, chukua msemo USICHUKUE MAAMUZI MAZITO WAKATI UNA HASIRA KWANI HASIRA NI HASARA KAMA SI MJUKUU
MYTAKE
KWA MUDA mfupi aliokaa kama mbunge MH LEMA AMEPOTEZA POLITICAL CREDIBILITY NA KAMA KATIBA MPYA INGEKUWEPO TUNGEPITISHA PETITION YA KUMNG'OA KAMA MBUNGE

sciolism..................................!!!!
 
Ili ujue ana nguvu ama hana kitu kama unavyo dai kuna Kata moja nadhani iko wazi .Sasa test ile kwa kuitisha uchaguzi uone moto wake the uje useme hana credibility hehehe wewe ----- sana
 
Akili yako na tabia yako haitofautiani na huyu
attachment.php


Lema ndiyo habari ya mjini; CCM wakilala wanamuota Lema, asubuhi kabla ya breakfast Lema. Lema atawanyoosha safari hii.
attachment.php
 
Back
Top Bottom