MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Una mawazo mgando sana. Lema amewashika pabaya sana magamba awamu hii.
Kwa taarifa yako hii kasi ya Lema itaendelea hadi ukombozi wa nchi hii upatikane.
Nchi hii tunahitaji vijana jasiri kama Lema.
Lema amewaamsha na kuwafundisha ujasiri vijana wa nchi hii. ccm imechukiwa na vijana baada ya kukombolewa kifikra na makamanda wetu.
DHAMBI KUBWA NA MBAYA KUPITA ZOTE NI UWOGA
Utadanganya wasiojua, Mm nilimpigia KURA Lema MWAKA 2010 leo ni mwaka wa tatu hakuna cha maana chochote Godbless J Lema alichowahi kuifanyia ARUSHA MJINI. Wamachinga waliokuwa wanategemea atwasaidia wanalalamika, akina mama waliokuwa wanategemea LEMA atawajengea Hospitali ya kujifungulia na kuwapa mikopo ya biashara wanalalamika, Vijana wasiokuwa na ajira ambao LEMA aliwapa ahadi ya kuwakopesha na kuwajengea MACHINGA COMPLEX wanalalamika! sasa sijui Mungi ni Lema yupi huyo unamzungumzia! Nilikuwa naongea na Vijana wa Pale SHAMOH car wash leo, wanasema wamemsamehe LEMA kwa yote aliyowadanganya, wanasema hata hizo machinga complex hawazitaki tena, eti akajenge kule kijijini kwao NRONGA MACHAME, wanachotaka awaachie jiji lao likiwa na AMANI kama alivyolikuta!
Last edited by a moderator: