Mh. Lema amepoteza political credibility

Mh. Lema amepoteza political credibility

Lema hayupo kundi la viongozi ila yupo kwenye kundi la wahuni na waropokaji.
sio ktk kundi la waropokaji yupo ktk kundi la wezi na majangili, nakumbuka Zombe aliwai kutamka na akamwambia haende mahakamani yeye anaushaidi tosha.
 
CCM hamuwezi kuwapenda wanasiasa jasiri na wenye misimamo kama Lema Thread zenu za aina hii tunazipuuzia tu
sikufikili ata sikumoja hata wewe unaweza kutetea majanga ya Taifa hili? kweli Mzee wa SUMU umefirisika kisiasa. hapo hujazeeka unawaza upuuzi upuuzi. au unaogopa utakapo gombea uwenyekiti wa vijana atakuundia zengwe? acha akili mbuzi.
 
kwanza sikubaliani na wewe, kwa sababu umejitahidi kuonesha una akili lakini kumbe huna akili ya kutushawishi kwa andiko lako lolote kama akili yako ndo hiyo!jaribu kusoma vitabu mbalimbali vya siasa, makala mbalimbali za wachambuzi wa siasa n.k ili unapoandika uweze kuwa na logic!
 
Assadsyria3 jina lako nimebeba maudhui ya kweli ya huyu dikteta aliyemaliza watu wake kwa uchu wa madaraka, HAKIKA NDIVYO ULIVYO NAOMBA YEYOTE ATAYESOMA THREADS ZAKO AKUDHARAU DAIMA,wewe ni takataka na bila shaka uko kwenye kikundi cha mtandao wa ccm waliomua Dr Mvungi kwa kuitetea hoja ya serikali tatu,
ovyo kabisa leta issue sio maisha na miendendo ya watu, -------- mkubwa wewe, ona aibu na fadhea siku zote zitakuandamana maana mawazo yako yalivyo ndivyo ulivyo.
NAMINI NA BADO NTAENDELEA KUAMINI KWAMBA HAKUNA MWENYE AKILI TIMAMU NDANI YA ccm,
 
Assadsyria3 jina lako nimebeba maudhui ya kweli ya huyu dikteta aliyemaliza watu wake kwa uchu wa madaraka, HAKIKA NDIVYO ULIVYO NAOMBA YEYOTE ATAYESOMA THREADS ZAKO AKUDHARAU DAIMA,wewe ni takataka na bila shaka uko kwenye kikundi cha mtandao wa ccm waliomua Dr Mvungi kwa kuitetea hoja ya serikali tatu,
ovyo kabisa leta issue sio maisha na miendendo ya watu, -------- mkubwa wewe, ona aibu na fadhea siku zote zitakuandamana maana mawazo yako yalivyo ndivyo ulivyo.
NAMINI NA BADO NTAENDELEA KUAMINI KWAMBA HAKUNA MWENYE AKILI TIMAMU NDANI YA ccm,
akili ndogo vs akili kubwa , wanaacha kujadili hoja wanajadili watu
 
BILA SHAKA MTAKUBALIANA NA MTAZAMO HUU JUU YA MH LEMA
kama kiongozi ambae anapaswa kuwa mstari wa mbele katika kulinda aman na utulivu wa nchi MH LEMA kwa makusudi ameamua kulipuuza hilo na mara nyingi amekuwa akileta mitafaruku na maaandamo yasiyo na tija KATIKA JIJI LA KITALII NA KUHATARISHA UCHUMI WETU kwa kushawishi vijana kutotii sheria
vile vile kama MBUNGE kulilia suala la posho nidhahiri MH MBUNGE alitarajia makubwa kwa kuwa kwake bungeni na kusahau kauli ya raisi KENNEDY KWAMBA kwan umeifanyia nn TANZANIA mpk udai posho ambazo ni unyonyaji wa wazi usiseme TANZANIA IKUPE POSHO WEWE UMEIFANYIA NN HIYO TANZANIA.
BILA kusahau kuwa kama kiongozi unapodharau ushauri wa wananchi hapo unakosa CREDIBILITY mfano MH LEMA ALISHAURIWA kama anatofautiana na MH ZITO basi alipeleke tuhuma zake kwenye vikao halali na kwa kuwa ushahidi anao dhidi ya anachokituhumu basi hapo ndio ingekuwa mahala pake na MH ZITO ANGEPEWA HATUA ZA KINIDHAMU lakini cha kushangaza MH MBUNGE akakimbilia KUROPOKA kwenye mitandao ya kijamii kwa weledi wa mambo inaitwa naenda kummaliza huyu jammaa kumbe maskini anajimaliza mwenyewe kwan tumefahamu kama wananchi kuwa issue ilikua si posho chukua ule msemo wa waingereza MPE MBWA JINA BAYA ILI UWEZE KUMUUA kwani waingereza wanapenda sana mbwa hivo kumuua lazma utatafute sababu kwamba labda anakula vifaranga nk upate kumuua
kama kiongozi wa kitaifa siungi mkono watu waliotengeza picha za kipuuzi za MH LEMA ILA kama busara ingekua imemtuma mh mbunge ASINGETHUBUTU KUPRINT PICHA ZA KIPUUZI NA KUWAPA WATU WAONE, lakini busara ya wananchi walimwomba MH NI BORA ZICHOMWE KULIKO KUENDELEA KUZISAMBAZA utaona jinsi busara ya MH INAVYOPUNGUA ANAPOKUA NA MATATIZO NA HIYO HUMPUNGUZIA CREDIBILITY KWANI kama kiongozi ukiongozwa na hasira chuki malipizo mwisho unaharibu kabisa, chukua msemo USICHUKUE MAAMUZI MAZITO WAKATI UNA HASIRA KWANI HASIRA NI HASARA KAMA SI MJUKUU
MYTAKE
KWA MUDA mfupi aliokaa kama mbunge MH LEMA AMEPOTEZA POLITICAL CREDIBILITY NA KAMA KATIBA MPYA INGEKUWEPO TUNGEPITISHA PETITION YA KUMNG'OA KAMA MBUNGE
umeshaniudhi, unamwita lema Mh? kwa lipi hasa, na ni nani huyo anayemuheshimu.
 
Assadsyria3 jina lako nimebeba maudhui ya kweli ya huyu dikteta aliyemaliza watu wake kwa uchu wa madaraka, HAKIKA NDIVYO ULIVYO NAOMBA YEYOTE ATAYESOMA THREADS ZAKO AKUDHARAU DAIMA,wewe ni takataka na bila shaka uko kwenye kikundi cha mtandao wa ccm waliomua Dr Mvungi kwa kuitetea hoja ya serikali tatu, ovyo kabisa leta issue sio maisha na miendendo ya watu, -------- mkubwa wewe, ona aibu na fadhea siku zote zitakuandamana maana mawazo yako yalivyo ndivyo ulivyo. NAMINI NA BADO NTAENDELEA KUAMINI KWAMBA HAKUNA MWENYE AKILI TIMAMU NDANI YA ccm,
umri wako na ulichokipost mbona haviendani? kweli wewe mzee huna sera, zako zimebaki sera matumboni.
 
Kwanza mpaka leo najutia sana kupoteza Kura yangu kwa kumpigia Mtu ambaye niwa kukurupuka tu huongozi hauwendi hivyo Mbunge Arusha hatuna
 
Nchi hii Watu wanaofikiria kwa kutumia MAKALIO ni wengi sana hivyo akitokea kiongozi anayekurupuka kama Lema atapata wafuasi wengi sana 2015 hatutaki hii Bogus...!
 
Ni kweli kabisa, kuna 'freedom of speech' lakini hakuna 'freedom after speech'. Kwa hiyo ujiandae kukabiliana na yatokanayo na speech yako

Tatizo Watu wanashabikia vyama ila kiukwel Mbunge wetu anapenda sana kukurupuka nahisi kama anavutaga Sigara kubwa?
 
Tatizo Watu wanashabikia vyama ila kiukwel Mbunge wetu anapenda sana kukurupuka nahisi kama anavutaga Sigara kubwa?
hilo si lakuuliza, Lema alikwenda mombasa kutafuta maisha. TATIZO ALIONA KIONGOZI WAKE WA JUU KAENDA DUBEI KAPATA NYUMBA
 
Ndugu yangu umezaliwa kweli wewe? Unajua matusi yako kwa mama wa mwenzako sio mazuri, hebu imagine ningemtukana mother hapo ulipo ungejisikiaje? Fanya siasa mkuu habari za familia za watu acha, hakuna mtu asiyeweza kutukana ila si uungwana.

Hapo ndio ninaposhangaa watu tunajibu posts zilizotupwa humu wewe unahamisha mada unapeleke kuwa personal wakati mwingine angalieni munaposts vitu ambavyo emotionaly vinawahusu
 
Back
Top Bottom