Wewe hujanielewa na huyo jamaa hajaelewa nini tunakisema hapa.Unaona nyie wawili mnavyopingana. Wewe unasema wana digrii na huyu anasema ana diploma.
Huhitaji kuwa na degree ili kuwa hakimu unless kama utaratibu umebadilishwa kipindi hichi, kwani mpaka sasa kuna chuo cha mahakimu Lushoto na watu wako darasani wanasoma hata sasa hivi.
Sasa kama ni hivyo kwa nini jaji kiongozi Mbarook(Siyo jaji mkuu) anasoma Degree ya kwanza hapa OUT na anakiri kuwa anasoma na utawala wa OUT wanakiri ni mwanafunzi wao?