naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Kwa hali ilivyo ni kwamba mtoto wa kiume wa jk Riz1 ni sehemu ya serikali ya baba yake kutokana kuingilia tasisi za chama na hata zilizo chini ya serikali,tofauti na watoto wa viongozi waliowahi kuongoza taifa letu kama mkapa,mwinyi na nyerere je hii ni ishara ya huyu mtoto wa rais kuwa sehemu ya serikali? Je dhamana aliyopewa rais anaweza kuiweka rehani kiasi hiki?kama dhamani tuliyompa Jk ndo anaitumia hv kwanini asirudishe kwa watz?
Nawasilisha
Nawasilisha