nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Namfikiria Mh. Kikwete , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mzaliwa wa Msoga , hivi angeshinda uchaguzi wa mwaka 1995 na kuwa Rais wa Tanzania katika hali ya uchumi legelege kama alivyoiacha Mzee Mwinyi , Je angeweza kutuvusha salama kwa miaka kumi kama ambavyo Mkapa aliweza ? Kikwete asingeweza kuwa na Mbinu za kutuendeleza ma kuinua uchumi wetu.
Huyu ndie Rais ambaye kashindwa kuwa na mtizamo chanya juu ya kuiendeleza Tanzania kutoka pale ambapo Mzee Mkapa aliishia .
Alikabidhiwa nchi iliyokuwa na Macro Economy Imara sana, leo tumeanza kurejea kulekule tulikotoka, ambapo inahisiwa kuwa kufikia mwishoni mwa Utawala wake Uchumi wetu utakua Kaputi kukaribiana na uchumi wa Zimbambwe .
Huyu ndie Rais ambaye kashindwa kuwa na mtizamo chanya juu ya kuiendeleza Tanzania kutoka pale ambapo Mzee Mkapa aliishia .
Alikabidhiwa nchi iliyokuwa na Macro Economy Imara sana, leo tumeanza kurejea kulekule tulikotoka, ambapo inahisiwa kuwa kufikia mwishoni mwa Utawala wake Uchumi wetu utakua Kaputi kukaribiana na uchumi wa Zimbambwe .