Mh. Kiingunge Ngombale Mwiru, Ushauri wako pale Chimwaga Dodoma Umetufikisha hapa...!

KINGUNGE NI MDUDU GANI TENA NAOMBA MNIJULISHE PLZQUOTE=zubedayo_mchuzi;4321252]Nakumbuka Vizuri mchakato wa kumtafuta Mgombea Ndani ya CCM mwaka 2005 Ulivyo kuwa Na makundi na vuta niku vute nyingi...

Kwa Wanaofahamu Kwenye Top 3 ya 2005 Jina la JK lilikuwa Halipo..walipita Wengine Na ambae alipata Nafasi ya kwanza ni Mwandosya ndie angegombea Uraisi wa nchi mwaka 2005,Baada ya vuta nikuvute Mh kingunge Alisimama na kuwauliza wajumbe wa CCM, hivi Tumsimamishe JK anaekubaliwa Chama kiendelee kuongoza hata kama uongozi wake utakuwa mbovu Au TUMSIMAMISHE mtu mwingine Tushindwe CCM ife? Ndipo wajumbe wakakubaliana kumpitisha JK ambae hata 3 bora hakuwepo.

Awali ya hapo Bwana BWM akiwatumia TISS kukusanya Maoni Nani Anakubalika kati ya waliochukua Form Ripoti ilikuja Kuwa JK ANAKUBALIKA but Apson ambae alikuwa Mkurugenzi kwenye Report hiyo Ali koment kuwa Jamaa anakubalika lakini Hafai katika uongozi na Hataisaidia IDARA YA TISS kufikia Malengo..

Jk Alipo apishwa na kutinga ikuru alikutana na Barua ya kujiudhuru ya Apson...

"lawama lawamani"[/QUOTE]
 
Umekufikisha wapi zaidi ya mafanikio kila nyanja? huoni? husikii? hutazami? basi hata hugeuki nyuma kutazama ulikuwa wapi kabla ya Kikwete na leo uko wapi? au bado ulikuwa tegemezi la wazee? (mtoto wa shule).

Hakika Kikwete kawabana vyanzo vyenu vya wizi vingi sana mpaka mnamchukia. Lakini kwa maendeleo, hakuna zaidi ya wakati huu, na kila dalili zinaonesha kuwa Kikwete atatuachia future nzuri sana, tushindwe wenyewe tu.
 
Matamko kama haya aliwahi kuyatamka Mhe. BWM.
Mkuu, kwa hali halisi ya TZ kwa sasa, unaonaje Mhe. JK akaongezewa muda wa kuiongoza nchi yake ya TZ baada ya 2015?
Hilo ni jambo lingine, tumuunge mkono ili amalizie muda wake kwanza.
 
"majuto ni mjukuu ,,,tumvumilie hivyohivyo ni upepo tu,,
tumethubutu tumeweza na tunasonga mbele!
DUHHHHHHHHHHHHHHHHHHH KAZ IPO
 
Umekufikisha wapi zaidi ya mafanikio kila nyanja? huoni? husikii? hutazami? basi hata hugeuki nyuma kutazama ulikuwa wapi kabla ya Kikwete na leo uko wapi? au bado ulikuwa tegemezi la wazee? (mtoto wa shule).

Hakika Kikwete kawabana vyanzo vyenu vya wizi vingi sana mpaka mnamchukia. Lakini kwa maendeleo, hakuna zaidi ya wakati huu, na kila dalili zinaonesha kuwa Kikwete atatuachia future nzuri sana, tushindwe wenyewe tu.


Hapo kwenye red nakubaliana na wewe kabisa. JK atawakabidhi madaraka cdm na nchi itakuwa kama pepo.
 
Hivi nyie mlikuwa wapi sikuzote kama mlikuwa mnalijua hilo na kama sio unafiki tu.
Mwacheni ****** wa watu akwereke.kwereka mwanawane kila mtu anaubongo,kufikiri,mdomo wa kubwabwaja mikono ya kubofya ujinga wa ubongo wake.
Ngoja ifike 2015 alafu wapime ulichokikuta na ulichokiacha,Zaidi ya barabara BWM alicha nini labda kiwira.
Mnanikera nyinyi na bado mirija yote atafunga x,.ny-== nyie
LWLNLW
 
Unapaswa kukumbuka sawia siyo kuandika uongo hapa mtu mzima.Jk aliongoza kura NEC na Mark alikuwa wa Tatu,Mzee Salimu wa pili kama ilivyojiri pia katika Mkutano mkuu.Ukizungumzia kikao cha Kamati kuu JK alikuwa afutwe kulingana na uonfgozi kutokubaliana nae na ushauri wa Sekretarieti ya Chama,Lakini ushauri wa Mzee Kingunge na Mzee APSON unaedai kuachakazi baada ya kikwete kuapishwa kitu ambacho siyo.Apson alistaafu Mwanzoni mwa mwaka 2007 miaka miwili baada ya JK kuwa Rais.

Kwanza Inasemekana TISS ndiyo iliyoshinikiza chini ya Apson kuhakikisha Kikwete anashinda kwa sababu anakubalika na kumwacha nchi ingeingia katika machafuko.Na ukumbuke hakuna Mtanzania wakati huo isipokuwa wachache sana kama mimi ambao tulikuwa against na ushabiki wa kitanzania kuhusu uwezo wa Kikwete na wengine wakafikia kusema ni chaguo la Mungu sasa hapo Hata APSON NA MZEE Kingunge wangeshauri tofauti unadhani ni nini kingetokea?

Kabla ya kuandika tufanye tafakuri na kuwa na usahihi wa kile tunachokiwakilisha kwa watu.

Mkubwa, usifanye jambo kwa sababu ya kelele kubwa. Ukubwa wa pua siyo wingi wa makamasi. Kutokana na uzoefu na taaluma za hawa watu, bado walikuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote ambacho waliamini kilikuwa sahihi na wala siyo kufuata kukubalika. Tumia akili mkuu na wala siyo hisia katika kuamua mambo ya baadaye.
 
Nakumbuka Vizuri mchakato wa kumtafuta Mgombea Ndani ya CCM mwaka 2005 Ulivyo kuwa Na makundi na vuta niku vute nyingi...

Kwa Wanaofahamu Kwenye Top 3 ya 2005 Jina la JK lilikuwa Halipo..walipita Wengine Na ambae alipata Nafasi ya kwanza ni Mwandosya ndie angegombea Uraisi wa nchi mwaka 2005,Baada ya vuta nikuvute Mh kingunge Alisimama na kuwauliza wajumbe wa CCM, hivi Tumsimamishe JK anaekubaliwa Chama kiendelee kuongoza hata kama uongozi wake utakuwa mbovu Au TUMSIMAMISHE mtu mwingine Tushindwe CCM ife? Ndipo wajumbe wakakubaliana kumpitisha JK ambae hata 3 bora hakuwepo.

Awali ya hapo Bwana BWM akiwatumia TISS kukusanya Maoni Nani Anakubalika kati ya waliochukua Form Ripoti ilikuja Kuwa JK ANAKUBALIKA but Apson ambae alikuwa Mkurugenzi kwenye Report hiyo Ali koment kuwa Jamaa anakubalika lakini Hafai katika uongozi na Hataisaidia IDARA YA TISS kufikia Malengo..

Jk Alipo apishwa na kutinga ikuru alikutana na Barua ya kujiudhuru ya Apson...

"lawama lawamani"

HAPANA Hata KIDOGO; Msimsingizie Jakaya Kikwete ndie aliyetufikisha HAPA

AZIMIO LA ZANZIBAR ndilo lililotufikisha hapa; tusifiche UKWELI; Kama nchi ilikuwa inataka kufanya reforms;

Haikuweka NGUZO na SHERIA nzuri za REFORM from UJAMAA to MINI-CAPITALISTIC SOCIETY; Viongozi wale walioanza

Na Huo Mpango walirukia hawakuangalia MBALI kama Nyerere alivyokuwa anaangalia Mbali

Sasa Viongozi hao Walipokuwa tayari kuyafanya Hayo walipanda ndege kisirisiri na kukimbilia Zanzibar

Wakaliita AZIMIO LA ZANZIBAR; Kosa kubwa ni KUVUNGA NGUZO ZA VIONGOZI Sasa kiongozi akaruhusiwa kumiliki

Mali na bado akawa Mfanyakazi wa Serikali; Kiongozi akaruhusiwa kupata Ubia na Makampuni ya Nje na bado

Akiwa Serikalini; HILO NDILO LILILOKUWA KOSA KUBWA SANA; Sasa Wabunge wetu Wana Petrol Stations wanatafuta

Contracts na Serikali; Mkurugenzi wa Tanesco anatafuta Contracts na Serikali

* NCHI KAMA MAREKANI KWENYE KATIBA YAO HAIRUHUSU HAYO; Ndio Yanayomsumbua ROMNEY sasa hivi; Romney ni

Mpinzani wa Baraka Obama; yeye aliondoka kwenye Kampuni yake inayoitwa BAIN Capital 1999 lakini inasemekana

alipata BONUS; na PIA wakati wanafaili taxes JINA LAKE lilikuwepo; Na Kampuni yake Ilisaidia Sana kuajiri watu

Kwa UFUPI NDIO HUO - Hauwezi kulitumikia TAIFA na pia KUFAYA BIASHARA ZAKO ni CONFLICT OF INTERESTS SO

KWANINI WATANZANIA? INABIDI TUWAULIZE RAIS MSTAAFU MWINYI na ALIYEKUWA MAKAMU WAKE J. MALECELA

WALIKUWA WANAWAZA NINI???? KUMKOMOA NYERERE SABABU ALIKUWA HAI AU NI KUIBOMOA NCHI KAMA SASA HIVI

HAWAONI MBALI; MWINYI ALISEMA YEYE NI KICHUGUU LABDA HAKIONI MBALI...
 
By 2005 Jk had already reached his level of incompetence and as he was sworn in as president, the level of incompetence had matured. the result is what we see now. incompetence of somebody in management and administration is not the fault of that very person but the fault of those who put that person to that position.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom