jakosongosi
Member
- Jan 21, 2014
- 30
- 6
Mapema mwezi wa 12 mh. naibu waziri wa tamisemi Kasimu Majaliwa aliutangazia umma kwamba ajira za walimu mwaka 2013/2014 zitatolewa mapema mwezi January.
Wahanga wa ajira hizo wamekua wakisubiri kuanzia mwez january mpaka sasa wameanza mwez mwingine hakuna tamuko au mrejesho wowote kwa umma la kushangaza bado kauli za kisiasa zinaendelea kutolewa na wakuu wa idara ya elimu. kama prof mchome ambae juz alisema muda wowote ajira zitatoka.
wakati neno muda ni pana sana, inaweza kuwa wiki,mwezi,mwaka,mlongo mpaka karne. Ndugu zangu wanajf tujadiliane hapa kwanini hawa wakuu wanadanganya umma?
Wahanga wa ajira hizo wamekua wakisubiri kuanzia mwez january mpaka sasa wameanza mwez mwingine hakuna tamuko au mrejesho wowote kwa umma la kushangaza bado kauli za kisiasa zinaendelea kutolewa na wakuu wa idara ya elimu. kama prof mchome ambae juz alisema muda wowote ajira zitatoka.
wakati neno muda ni pana sana, inaweza kuwa wiki,mwezi,mwaka,mlongo mpaka karne. Ndugu zangu wanajf tujadiliane hapa kwanini hawa wakuu wanadanganya umma?