Askali wako Tanga wanakusanya pikipiki zilizopaki ambazo hazitembei barabarani. Mbaya zaidi Askali wanaingia nyumbani mwa watu wanachukua pikipiki ambazo haziko barabarani.
Hili liko sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.