Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Nimesoma mada ninayoiweka kwenye link hapa, ambayo imetulia sana, ikichambua kwa nini kauli ya Shimbo imesababisha majadiliano mazito. Kumbe ni Kikwete pekee ambaye amengangania USHINDI NI LAZIMA. Kumbe JK angeungana na wenzie, basi uungwana huu ungeweza kujenga imani kubwa kwa wananchi badala ya hofu iliyojijenga sasa ambayo JWTZ wameanza kuinusa na kuienzi.
Soma ndani ya Raia Mwema: Dk. Slaa alipaswa kumpa pongezi Lt. Jen. Shimbo
Soma ndani ya Raia Mwema: Dk. Slaa alipaswa kumpa pongezi Lt. Jen. Shimbo