Kuna taarifa zisizothibitishwa kwamba aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala [na hapo kabla Temeke] Mh. Idd Nyundo amefariki dunia leo asubuhi.
Inna lillahi wainna ilaihi rajiun,
mwenyezi mungu awape subira wafiwa, awape rehema waliotangulia, na atujaalie nasi tuwe na mwisho mwema!!
ghafla au??
There goes another tetesi zikifuatiwa na "Inna Lillahi..." nyiingi kabla ya uthibitisho.
Dilunga, you can remove that 'tetesi' thing. Ni kweli imeshathibitika Mh. Nyundo ametutoka.
Ahsante Shadow.
Wafiwa na wapendwa wa hayati Nyundo pateni nguvu katika kipindi hiki kigumu.
Ndugu Dulinga, 'hayati' maana yake nini?
Kutoka BAKITA, correct word ni marehemu. Neno 'hayati' linaelezea uhai. Hivyo huwezi kum-entitle mtu aliyekufa kama 'hayati'. Hao kamusi project nao wanachemsha.
"Kutoka BAKITA"? Nionyeshe chanzo, sema BAKITA wamekwambia hicho kitu katika documentation kadha wa kadha, au toa tamko kwamba wewe ni Katibu Mwenezi wa BAKITA hivyo wewe ndio chanzo.
Siwezi nikadaiwa attribution sehemu halafu nikasema namnukuu bwana mmoja au sijui bibi mmoja yuko Jamii Forum anaitwa Uwiano Maalum kasema BAKITA wamesema, unless wewe ni Katibu Mwenezi wa BAKITA.
Wewe ni Katibu wa kueneza taarifa za BAKITA? Mmetoa documentation yeyote?
Kutoka BAKITA, correct word ni marehemu. Neno 'hayati' linaelezea uhai. Hivyo huwezi kum-entitle mtu aliyekufa kama 'hayati'. Hao kamusi project nao wanachemsha.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na BAKITA (Baraza la Kiswahili Tanzania).