Naona usipotaja rejao hupati usingizi kabisa!wanafiki kinoma. kwani umuoni rejao na mzee hapa jf?
wanafiki kinoma. kwani umuoni rejao na mzee hapa jf?
Naona usipotaja rejao hupati usingizi kabisa!
Missing you!Naona usipotaja rejao hupati usingizi kabisa!
Missing u too SL..majukumu yalikuwa yamenitinga sana. Nimejaa tele from now onwards!Missing you!
Uko poa wewe?
Hahahahh hah..mi underground tu. Nashangaa kuna watu wananipaiza humu bila sababu yoyote! Mimi nipo pouwa kabisa..sijui wewe!dah! inaonekana wewe ni selebriti?!!!
ngoja nijipange vizuri, naweza lamba bingo hapa.
habari yako binafsi banaa
Lol ...umeona eeh!! Hajui mie kidume mwenzake?He is falling in love
wanafiki kinoma. kwani umuoni rejao na mzee hapa jf?
Naona usipotaja rejao hupati usingizi kabisa!
Hahaha..kumbe? Nilikuwa sijijui! Ngoja nifuate huu ushauri wako aisee, vuta subira, utamuona rejao wa ukweli!!Jina lako halitishi ila sura yako loh!
Kafanye face-lift au plastic surgery kabisa
Hahahahh hah..mi underground tu. Nashangaa kuna watu wananipaiza humu bila sababu yoyote! Mimi nipo pouwa kabisa..sijui wewe!
Hahaha..kumbe? Nilikuwa sijijui! Ngoja nifuate huu ushauri wako aisee, vuta subira, utamuona rejao wa ukweli!!