Mh!Hebu msikie huyu!!!!....!

jaman tatizo ni kwamba kama mjomba alizaa na huyo mke then mpwawe nae akaoa akazaa nae tena hv hao watoto wa pande zote mbili wataitanaje?

Inategemea huo ukoo undugu kwao wana uchukulia vipi. Japo kuna dini zinaruhusu watoto wa ba mdogo na ba mkubwa kuoana lakin bado wengine kwetu ni jambo gumu kwa maana ya kwamba wazazi wametoka tumbo moja la mama mmoja hvyo hata uzao wao utakua ni damu moja.
Ila cjui wengine mna mtazamo gani!
 
Lakini naomba kujua hivi ni mbaya kungonoka nae au kuoa? Maana anatuomba ushauri juu ya kuoa, wakati wa kumfatilia hakutuomba ushauri<br />
Namshauri aoe tu kama alivyoamua kubanuana!!
 
Why he want to do that. Kupita alikopita mjombaake. Na je huyo mjomba akija kwao atakuwa anawaangaliaje. Na je siku ya siku mjomba akataka kukumbushia maana love bana huwa haiishi kimoja itakuwaje
<br />
<br />
Kumbe love huwa haiishi!Sasa mliooa mkakuta milango imefuliwa mna balaa,bora mi bado!
 
jaman tatizo ni kwamba kama mjomba alizaa na huyo mke then mpwawe nae akaoa akazaa nae tena hv hao watoto wa pande zote mbili wataitanaje?<br />
<br />
Inategemea huo ukoo undugu kwao wana uchukulia vipi. Japo kuna dini zinaruhusu watoto wa ba mdogo na ba mkubwa kuoana lakin bado wengine kwetu ni jambo gumu kwa maana ya kwamba wazazi wametoka tumbo moja la mama mmoja hvyo hata uzao wao utakua ni damu moja.<br />
Ila cjui wengine mna mtazamo gani!
<br />
<br />
Hawakuzaa na mjomba!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hawakuzaa na mjomba!

hata kama mkuu, kwan madem kitaa wameisha? Jamaa yupo moshi mwambie aende marangu akapate watoto wazur weupee!
 
QUOTE=Eiyer;2329519]&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kumbe love huwa haiishi!Sasa mliooa mkakuta milango imefuliwa mna balaa,bora mi bado![/QUOTE]<br />
<br />
Endelea kujipa mooyo wa kutooa kisa unaogopa. Pole sana mtafute wa kwako umuumbe umuweke ndani uanze nae mwenyewe au katafute katoto ka kimasai kadogo ulipe nahari ya ng'ombe kadhaa ukalinde kasiguswe mpaka uje ukaoe
 
fikiria kama huyu PAUL akawa LIZY na huyo mjomba akawa ni ASHA ( Ma mdogo/Mkubwa) na huyo mke aliye achwa akawa ni Mr ROCKY je LIZY ataweza kuolewa na Mr ROCKY ?
 
Hii inanikumbusha Brooke, the young and the restless, kamaliza nyumba nzima, bado kumlesbian tu mama yule stephany
 
Sisi kwetu ukitaka kuoa unamwambia Mjomba au Shangazi shida yako na mwanamke unaetaka kumuoa ili akafikishe ujumbe kwa wazazi wako.
sijui kama na kwao kuna utamaduni huo itakuwaje?
lakini hiyo ipo wazi, ukilazimisha labda kama naniiiiiiiiiiiiiiiiii zake ni za dhahabu
 
Huyu jamaa anaitwa Paul,anaishi katika manispaa ya Moshi,ana uhusiano wa kimapenzi na Ex wife wa mjomba wake,anataka kumuoa anataka kujua kama atapata baraka za ndugu na jamii inayomzunguka,wewe je unampa baraka zako??Chanzo;Kiss FM!
<br />
<br />
dah! No comment, hata kama atamuoa mi sitampenda tena huyo jamaa, mjomba ni sawa na mama yako, so kitu cha mjomba ni sawa na cha mama,
kuangalia au kutumia uchi wa mke wa mjomba/shangazi yake wa zamani ni sawa na kumfunua mamaako(laana)

Achane utani,

kwa hiyo ikitokea babaako katemana na mke wake ambae sio mamaako(let say mnaendana umri) ndo we umuoe kisa wametalakiana?
 
Kimazoea tu inaonekana haijakaa poa,
Na labda ndugu hasa mawifi watasumbua...
Ila hamna noma, ana baraka zangu nyingi tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom