FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
jaman tatizo ni kwamba kama mjomba alizaa na huyo mke then mpwawe nae akaoa akazaa nae tena hv hao watoto wa pande zote mbili wataitanaje?
Inategemea huo ukoo undugu kwao wana uchukulia vipi. Japo kuna dini zinaruhusu watoto wa ba mdogo na ba mkubwa kuoana lakin bado wengine kwetu ni jambo gumu kwa maana ya kwamba wazazi wametoka tumbo moja la mama mmoja hvyo hata uzao wao utakua ni damu moja.
Ila cjui wengine mna mtazamo gani!
Inategemea huo ukoo undugu kwao wana uchukulia vipi. Japo kuna dini zinaruhusu watoto wa ba mdogo na ba mkubwa kuoana lakin bado wengine kwetu ni jambo gumu kwa maana ya kwamba wazazi wametoka tumbo moja la mama mmoja hvyo hata uzao wao utakua ni damu moja.
Ila cjui wengine mna mtazamo gani!