morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
nasikia umejiunga na jf ,tafadhali naomba mwambie mh Godbless lema .jimboni kwake arusha atulali kelele za mziki kutoka ukumbi wa active club .uliopo mbauda kata ya sombetini ,tumelalamika kwa mtendaji kata ,diwani wa ccm ,mkurugenzi wa jiji , kamanda wa polisi ,na kumalizia tume ya sheria na haki za binadamu lakini wapi mwaka wa 7 sasa.wameshindwa kuzuia mbali ya kuwepo sheria mpya ya kumbi za muziki ,mh tunaomba mbunge wetu atumie nguvu za umma