SOKETI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 206
- 50
Katika pita pita zangu mtaani usiku wa jana nilisikia gari la matangazo aina ya toyota hilux, likitangaza mdahalo/ mkutano utakaofanyika leo-25 katika chuo cha ualimu Mwenge.. ANGALIZO:- Mkutano huu haipendezi ukiwa na maslahi ya kisiasa bali itapendeza endapo utakua na lengo la kuleta mabadiliko na mapinduzi/ukombozi katika taifa hili. Mungu ibariki Tanzania