Mh. Freeman Mbowe una taarifa na kikao hiki?

Mh. Freeman Mbowe una taarifa na kikao hiki?

KIM KARDASH

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
5,139
Reaction score
1,151
attachment.php
 
weka maelezo tujue sasa picha tu kama ulikuwa unataka tuione basi tutaiona.
 
Twambie ni wapi nasi tujue. Dr.Slaa ana marafiki wengi sana na kila siku anapunguza na maadui wake maana wengi humuunga mkono na kuungana naye kwenye ukweli
 
maelezo atakuja kuyatoa bwana mgombea urais,mwenyewe,atatuambia alikua wapi na anafanya nini na kina nani?
 
maelezo atakuja kuyatoa bwana mgombea urais,mwenyewe,atatuambia alikua wapi na anafanya nini na kina nani?

Acha unafiki wewe, hii picha ilishawahi kuletwa humu mwaka juzi na ikawa proven kuwa ni photo shop, haihitaji hata cert. ya IT kulitambua hilo, mtahangaika sana na Dr. wa Ukweli lakini si wa level za magamba yenu
 
Dr ndio amekwambia kuwa hicho ni kikao au? Naona ni sehemu ya nje ya hoteli fulani hapo. Ni public place. Sioni tatizo hapo.
 
Acha unafiki wewe, hii picha ilishawahi kuletwa humu mwaka juzi na ikawa proven kuwa ni photo shop, haihitaji hata cert. ya IT kulitambua hilo, mtahangaika sana na Dr. wa Ukweli lakini si wa level za magamba yenu
kwa hiyo slaa hawezi kuzungumza na watu wa aina hii sio?
 
Dr ndio amekwambia kuwa hicho ni kikao au? Naona ni sehemu ya nje ya hoteli fulani hapo. Ni public place. Sioni tatizo hapo.
bora wewe ,maana mwenzako hapo juu anadai ni photo shop tu hiyo cuz anavyoona yeye slaa si kwa ajili ya watu kama hao!
 
Lazima mtu atafunwe hapo.Yangu macho
 
Tukuulize wewe uliyeleta umbea. What is so special Dr. Slaa akiwa na watu fulani? Are they criminals?

Acha umbea mdogo mdogo

mwenyekiti anazo taarifa lakini au alichepuka kisiri camera ndio zikamuumbua sasa kuna wapambe wanahangaika kufanya cover up eti it was a photo shop!halafu hiyo fulana ya kijani sio chagua kikwete ya ccm hiyo kweli?!!!!maneno ya nape ya mtu kumiliki kadi mbili za vyama viwili tofauti yanaweza kuwa na mantiki aisee
 
Hiyo picha!:shingo na miguu ya Dr mbona utata mtupu, au PHOTOSHOP
 
Hivi wanasiasa huwa malipo yao ni nini? kuna watu naona wanatetea na kushabikia mambo ya kipuuzi badala ya kufanya vitu vya msingi.
Hivi unajua ni watanzania wangapi hawana elimu uliyo nayo???, umewasaidiaje??
 
Back
Top Bottom