utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
mbunge hajielewi kabisa, yeye kila kukicha ni vurugu,vituko na maajabu, inabidi aingizwe kwenye maajabu saba ya dunia awe ni ajabu la nane
hata wewe umekosea,anaitwa changu-doa
Anasema bungeni katika hoja ya Maliasili na Utalii, eti wana Arusha watafakari hawana Mbunge wa kuwasemea, kwa kua kila siku yupo Mahakamani, kwenye maandamano. Hayo ndio maneno ya Mbunge wa viti maalumu-CCM. Amesahau kuwa mzee Mandela aliingizwa ktika list ya magaidi na Thatcher, leo kafa kamwacha mzee na heshima kubwa
Anasema bungeni katika hoja ya Maliasili na Utalii, eti wana Arusha watafakari hawana Mbunge wa kuwasemea, kwa kua kila siku yupo Mahakamani, kwenye maandamano. Hayo ndio maneno ya Mbunge wa viti maalumu-CCM. Amesahau kuwa mzee Mandela aliingizwa ktika list ya magaidi na Thatcher, leo kafa kamwacha mzee na heshima kubwa
Mwambieni akawe yeye. Lakini inawezekana kwa kuwa jicho moja siyo natural amepata athari kwenye ubongo. Atafutiwe dentist.mbunge wa viti maalumu betty machangu akichangia mjadala wa wizara ya maliasili na utalii hivi punde ameeleza kuwa mkoa wa arusha ni wa pili kwa ulipaji na ukusanyaji kodi hapa nchini lakini hivi sasa maendeleo ya mkoa huo yanazidi kudidimia kwa sababu arusha mjini haina muwakilishi kwa sababu mbunge wake yuko bize na maandamano na siasa za vurugu kila kukicha.
Ni suala la muda tu,ndipo watu watajua kwamba Arusha hawana mbunge,na tatizo la viongozi wakuu wa chadema ni wabinafsi wanaangalia kwamba watawezaje kukamata madaraka ya nchi kwa style yeyote,ndo maana ndani ya chadema hautaona hata cku moja watu aina ya wakina Lema wakaonekana wana makosa,kisa ni influence aliyonayo kwa vijana wake wa Arusha,na hili ndilo la kujiuliza kwamba kama chama ata unye hadharani as longer Una credit kwa chama kukisaidia kuingia madarakani basi wewe watakusifia tu,lakini uwe wenzangu na mimi wakina kafulila kipindi kile kabka hajaea mbunge,au wakina Shonza na mwalimu Mwapamba,lazima wakutoe kafara,ndo maana hata wakina Zitto kwa asivyotakiwa ndani ya chadema kwa sasa bas inabid kuvumiliana,kwa mantiki hiyo CDM wapo kimaslahi zaid,wakisukumwa na ndoto za urais kwa padri na ndoto za PM kwa Mbowe.But in general hakuna chama pale,Kuna wahuni tu.
Hivi huyu mbunge alikamatwa na Takukuru ilikuwa issue gani ?
mbunge wa viti maalumu betty machangu akichangia mjadala wa wizara ya maliasili na utalii hivi punde ameeleza kuwa mkoa wa arusha ni wa pili kwa ulipaji na ukusanyaji kodi hapa nchini lakini hivi sasa maendeleo ya mkoa huo yanazidi kudidimia kwa sababu arusha mjini haina muwakilishi kwa sababu mbunge wake yuko bize na maandamano na siasa za vurugu kila kukicha.