TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 31,197
- 18,227
Anasema bungeni katika hoja ya Maliasili na Utalii, eti wana Arusha watafakari hawana Mbunge wa kuwasemea, kwa kua kila siku yupo Mahakamani, kwenye maandamano. Hayo ndio maneno ya Mbunge wa viti maalumu-CCM. Amesahau kuwa mzee Mandela aliingizwa ktika list ya magaidi na Thatcher, leo kafa kamwacha mzee na heshima kubwa
amesahau kabisa mandela alikua mwakilishi wa weusi SA kwa miaka zaidi ya 20 huku akiwa jela